china kaahidi atatoa so shida iko wapi? Mchina mwenyewe anaitolea macho hio project yeye mwenyewe anataka hio project ife hata sasa hvi aichukue 🤣🤣🤣 ukisusa wenzako wanakula tuHuu mradi upo chini ya Total ambalo ni kampuni la Ufaransa, ila pesa ndio wanaomba China, Sasa Kama serikali ya Ufaransa ikivunja mahusiano na Uganda na kuiwekea vikwazo, itawezekanaje kampuni lao kuendelea kuwekeza Uganda?
Mwambie ufaransa ajitoe alaf aone shughuli itakayofuata 😅😅😅😅Iwe kweli isiwe porojo
Nilimwambia huyo anaetetea haki za mashoga kua huo mradi mchina anautolea mate leo kesho anaomba ajivue ufaransa alaf aone shughuli itakayofuata😅😅😅😅Ufaransa chini ya Macron haiwezi kivunja mradi! Jaribu kuchunguza jinsi wanavyowadindia EU Parliament labda kutokee Coup Uganda kama Niger!
![]()
World Bank resolution won’t affect EACOP – Minister - 93.3 KFM
The Ministry of Energy and Mineral Development says the East African Crude Oil Pipeline Project (EACOP) will not be affected by the World Bank aid cut to Uganda. Speaking to journalists at the Uganda Media Centre on Thursday, the minister of state for Energy and Mineral Development, Peter...www.kfm.co.ug
Asante kwa render, GOD bless u🤣🤣👏👏Am looking at a situation in the next three years where 20 floor towers in Nairobi will not count. Nairobi is transitioning into a dense high-rise city where towers 20-30 floors are too common to count. South C has joined the fray.
Example below is 12, 20 floor towers under construction in South C. Construction is underway
View attachment 2713870
Hzo ndio 25 floors au sio 🤣🤣🤣🤣Nairobi has 10 towers of over 25 Floors under construction. Something funny, these towers will be completed even before Mzizima in Dar is done
View attachment 2713875View attachment 2713876View attachment 2713877View attachment 2713878
Tuombe iwe hivyo.Ufaransa chini ya Macron haiwezi kivunja mradi! Jaribu kuchunguza jinsi wanavyowadindia EU Parliament labda kutokee Coup Uganda kama Niger!
![]()
World Bank resolution won’t affect EACOP – Minister - 93.3 KFM
The Ministry of Energy and Mineral Development says the East African Crude Oil Pipeline Project (EACOP) will not be affected by the World Bank aid cut to Uganda. Speaking to journalists at the Uganda Media Centre on Thursday, the minister of state for Energy and Mineral Development, Peter...www.kfm.co.ug
Huu mradi sio mradi wa China, huu ni mradi wa Wafaransa, maamuzi yote yapo mikononi mwa TOTAL Energy, ambao ni Wafaransa, China ni financer tu, Sasa TOTAL wakiamua kusimamisha shughuli zao hadi muafaka upatikane, China atawezaje kuchukua mradi?. Kwanza ataanzaje wakati gharama zote za utafutaji wa Mafuta na visima vyote ni Mali ya Total Energy?china kaahidi atatoa so shida iko wapi? Mchina mwenyewe anaitolea macho hio project yeye mwenyewe anataka hio project ife hata sasa hvi aichukueukisusa wenzako wanakula tu
Hivi naomba kuuliza wazee. Mbona hawa Niger wamewakalia kooni sana kwani ndio nchi ya kwanza au ya pekee kufanya mapindizi ya kijeshi kwa miaka hii??
Naona hunielew ninachoongea nimekwambia hvi huo mradi hata mchina anautaka so hata mfaransa akiacha kisa uganda imekataa ushoga wako watu wanautaka na wataendeleza simple like that mzee😅😅😅😅 vp ecowas wamefkia wapi?? Naskia wameanza kugeukana wao kwa wao sasa 😅😅😅😅Huu mradi sio mradi wa China, huu ni mradi wa Wafaransa, maamuzi yote yapo mikononi mwa TOTAL Energy, ambao ni Wafaransa, China ni financer tu, Sasa TOTAL wakiamua kusimamisha shughuli zao hadi muafaka upatikane, China atawezaje kuchukua mradi?. Kwanza ataanzaje wakati gharama zote za utafutaji wa Mafuta na visima vyote ni Mali ya Total Energy?
Kwasababu niger wamejitambua na wameshtuka sasa ule unyonyaji wao wa kuiba rasilimali utaisha ndio hofu yao kubwa na hasa kwa ufaransa ambako tayar kashapoteza nchi tatu kwenye mageuzi sasa anahaha hasa kwenye resources so wanazunguka kwa nyuma kutumia ecowas kurudisha wale watu wao ili waendelee kuinyonya niger sasa bahat mbaya zaidi ecowas yenyewe hawaaminiani 😅😅😅😅 na nchi zilizobaki ecowas hazizidi 5 na wote wana migogoro kwenye nchi zaoHivi naomba kuuliza wazee. Mbona hawa Niger wamewakalia kooni sana kwani ndio nchi ya kwanza au ya pekee kufanya mapindizi ya kijeshi kwa miaka hii??
Zimekuwa si bus stand tena bali ni basi standBus Stand za Wakunya ni vituko