Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tanzanite Bridge!

IMG_9141.jpg
 
kama africa ingekuwa na msimamo nchi zoote 50+ zikapitisha sheria WB wangenywea! Ila sasa utakuta vinchi kama Kenya vitasaliti azimio!
we jiulize mbona nchi za kiarabu wamekataza ushoga na wahaekewi vikwazo vyovyote popote 😅😅😅 ndio utajua kua kila kitu kimetengezwa kwa ajili ya africa hakuna mzungu leo atafurah africa muzaane tu wao wanataka watu wapungue watawale tena lakini mkiwa wengi ni tishio kwao

Na africa ni MUNGU tu ndio anaisaidia kwa kweli 😅😅 manake maradhi yote ya ajabu yanaletwa africa kila balaa linaletwa africa lakini bado inadunda tu africa
 
we jiulize mbona nchi za kiarabu wamekataza ushoga na wahaekewi vikwazo vyovyote popote ndio utajua kua kila kitu kimetengezwa kwa ajili ya africa hakuna mzungu leo atafurah africa muzaane tu wao wanataka watu wapungue watawale tena lakini mkiwa wengi ni tishio kwao

Na africa ni MUNGU tu ndio anaisaidia kwa kweli manake maradhi yote ya ajabu yanaletwa africa kila balaa linaletwa africa lakini bado inadunda tu africa
Umasikini wako ndio unaokufanya unyanyasike, pambana na umasikini Ili uwe na uwezo wa kujiamulia mambo yako, Wacha Kulalamika.
 
we jiulize mbona nchi za kiarabu wamekataza ushoga na wahaekewi vikwazo vyovyote popote 😅😅😅 ndio utajua kua kila kitu kimetengezwa kwa ajili ya africa hakuna mzungu leo atafurah africa muzaane tu wao wanataka watu wapungue watawale tena lakini mkiwa wengi ni tishio kwao

Na africa ni MUNGU tu ndio anaisaidia kwa kweli 😅😅 manake maradhi yote ya ajabu yanaletwa africa kila balaa linaletwa africa lakini bado inadunda tu africa
tujitegemee! Tuache kuombaomba!
 
Back
Top Bottom