NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,726
- 49,572
Stendi ya mabasi huko Nyeri,yaani ni hii stendi inafafana na Shule ya Tosamaganga
View attachment 2712334
Hii ni concentration Camp imebadilishwa tu matumizi

Stendi ya mabasi huko Nyeri,yaani ni hii stendi inafafana na Shule ya Tosamaganga
View attachment 2712334

Kazi inaendeleaHii ni pale jiji la Mbeya kaka! 🙂🙂
kama africa ingekuwa na msimamo nchi zoote 50+ zikapitisha sheria WB wangenywea! Ila sasa utakuta vinchi kama Kenya vitasaliti azimio!"World Bank halts new loans to Uganda over anti-LGBTQ law | LGBTQ | Al Jazeera" World Bank halts new loans to Uganda over anti-LGBTQ law
we jiulize mbona nchi za kiarabu wamekataza ushoga na wahaekewi vikwazo vyovyote popote 😅😅😅 ndio utajua kua kila kitu kimetengezwa kwa ajili ya africa hakuna mzungu leo atafurah africa muzaane tu wao wanataka watu wapungue watawale tena lakini mkiwa wengi ni tishio kwaokama africa ingekuwa na msimamo nchi zoote 50+ zikapitisha sheria WB wangenywea! Ila sasa utakuta vinchi kama Kenya vitasaliti azimio!
Kamwe haitokaa itokee duniani kwa masikini kumkasirikia tajiri, "a hungry stomach can't fight".kama africa ingekuwa na msimamo nchi zoote 50+ zikapitisha sheria WB wangenywea! Ila sasa utakuta vinchi kama Kenya vitasaliti azimio!
Umasikini wako ndio unaokufanya unyanyasike, pambana na umasikini Ili uwe na uwezo wa kujiamulia mambo yako, Wacha Kulalamika.we jiulize mbona nchi za kiarabu wamekataza ushoga na wahaekewi vikwazo vyovyote popotendio utajua kua kila kitu kimetengezwa kwa ajili ya africa hakuna mzungu leo atafurah africa muzaane tu wao wanataka watu wapungue watawale tena lakini mkiwa wengi ni tishio kwao
Na africa ni MUNGU tu ndio anaisaidia kwa kwelimanake maradhi yote ya ajabu yanaletwa africa kila balaa linaletwa africa lakini bado inadunda tu africa
tujitegemee! Tuache kuombaomba!we jiulize mbona nchi za kiarabu wamekataza ushoga na wahaekewi vikwazo vyovyote popote 😅😅😅 ndio utajua kua kila kitu kimetengezwa kwa ajili ya africa hakuna mzungu leo atafurah africa muzaane tu wao wanataka watu wapungue watawale tena lakini mkiwa wengi ni tishio kwao
Na africa ni MUNGU tu ndio anaisaidia kwa kweli 😅😅 manake maradhi yote ya ajabu yanaletwa africa kila balaa linaletwa africa lakini bado inadunda tu africa
Umeona watz tulivyowaaminifu, mtu anabadili jina na anatu notify Ila kuna taifa fulani la watu waongo waongo na wasio na maadili, kila mtu anamiliki ID zaidi ya tano na hawasemi.From WAKUDAMSH to THE BOILER ROOM changed my ID Name. Tuendelee kuwakanda.