Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,879
- 103,740
Kwani umaskini umesababishwa na nani? Umaskini huu wote africa chanzo chake ni hao hao wao ndio wamechukua resources kwa nguvu tena kwa kuuwa watu na wengine walichukuliwa mateka na kupelekwa ulaya kwenda kujenga miji yao na kuna mengi sana nyuma ya historia yaliyofichwa mengi sana 😅😅😅 hii mada nilishakwambia bro achana nayo huiweziUmasikini wako ndio unaokufanya unyanyasike, pambana na umasikini Ili uwe na uwezo wa kujiamulia mambo yako, Wacha Kulalamika.
lazima tu support multipolar world kwa nguvu sana ili huu uonevu uishe kama leo niger anajikomboa kutoka kwenye manyanyaso ya mfansa anaeiba resources tena kwa nguvu kwa kuweka watu wake alaf anatumia mgongo wa ECOWAS kuingilia kati, alaf yuko mwafrica anashangilia huu upuuzi kisa anashabikia ushoga 🤣 🤣 🤣tujitegemee! Tuache kuombaomba!
Kama umebaki kuwa mtumwa wa historia(slave of the past), subiri uone utakavyonyanyasika.Kwani umaskini umesababishwa na nani? Umaskini huu wote africa chanzo chake ni hao hao wao ndio wamechukua resources kwa nguvu tena kwa kuuwa watu na wengine walichukuliwa mateka na kupelekwa ulaya kwenda kujenga miji yao na kuna mengi sana nyuma ya historia yaliyofichwa mengi sanahii mada nilishakwambia bro achana nayo huiwezi
Mkuu Bond umesomeka 🙏🏿Umeona watz tulivyowaaminifu, mtu anabadili jina na anatu notify Ila kuna taifa fulani la watu waongo waongo na wasio na maadili, kila mtu anamiliki ID zaidi ya tano na hawasemi.
Wewe akili yako haipo sawasawa, hivi unashabikia mapinduzi ya Kijeshi ndio iwe njia halali ya kujitawala Africa?. Kwahiyo mapinduzi yaliyomtoa madarakani Thomas Sankara pia yalikua ni sahihi?, wewe jamaa sikujua Kama ni hovyo kiasi hiki.lazima tu support multipolar world kwa nguvu sana ili huu uonevu uishe kama leo niger anajikomboa kutoka kwenye manyanyaso ya mfansa anaeiba resources tena kwa nguvu kwa kuweka watu wake alaf anatumia mgongo wa ECOWAS kuingilia kati, alaf yuko mwafrica anashangilia huu upuuzi kisa anashabikia ushoga![]()
![]()
![]()
kweli hii dunia imeisha kaaaaaah
🤣🤣🤣🤣 mfumo wa elimu wa CCM ni bure sana walai ..enda shule urudishiwe school fee ...kwa nini north africa, middle east na south east asia hawana high pitched roofs na huko ndio kuna joto zaidi ya huku? ugly housesSidhani kama unafahamu physics ya heat transfer kwenye nyumba yenye paa ndefu. Unafikiri ni kwa nini makanisa na majumba ya zamani yalikuwa na paa ndefu? Hewa yenye joto hupaa juu na ya baridi hushuka chini, hivyo paa refu linasaidia kuongeza mzunguko wa hewa baridi (cooling effect) ndani ya nyumba.
It seems, In Nairobi's main Districts, 20+ is the new norm.
WESTLANDS is about to form a cluster never seen before in Africa.
Example
33 floor twin towers. Now on 5
View attachment 2709482View attachment 2709483View attachment 2709484
Residential tower 25 floor high
View attachment 2709485View attachment 2709486
All these are just neighbours to GTC
Heb post hizo nyumba mlijengea civil servants those years tuone mkuuIn Dodoma you have the chance to build a modern city from scratch.
Lakini bongolala ni nani? Nyumba zinakaa zile Kenya tulikuwa tunajengea civil servants 1970s.
Nimekubaliana na wewe 100% kugawana gharama na hawa magharamia, but mimi tu nime-express wasiwasi wangu juu yao kuwezafanikisha. Tuko pamoja.Vielelezzo vyoote na bado huoni hatari iliyopo kuandaa mashindano kama nchi moja pekee!
Uganda ameshanyimwa mikopo huko world bank, vipi tunaendanae.? Au tunamuacha.?Nimekubaliana na wewe 100% kugawana gharama na hawa magharamia, but mimi tu nime-express wasiwasi wangu juu yao kuwezafanikisha. Tuko pamoja.
Kumbe inawezekana humu tukawa tunabishana na Wakenya wawili tu?🤔😅😅Umeona watz tulivyowaaminifu, mtu anabadili jina na anatu notify Ila kuna taifa fulani la watu waongo waongo na wasio na maadili, kila mtu anamiliki ID zaidi ya tano na hawasemi.
they have already messed it upIn Dodoma you have the chance to build a modern city from scratch.
Lakini bongolala ni nani? Nyumba zinakaa zile Kenya tulikuwa tunajengea civil servants 1970s.
sasa kama hutaki history kwann uwalaumu waafrica? sio suala la kulalamika ni suala la kusimamia haki sio kutumia mabavu kuwaonea nchi zingine, eti kisa ushoga laana zao ndio uwalazmishe wanaume wapandiane 🤣 🤣 kila wanalojaribu africa linagonga mwamba walikuja na ukimwi wakajua watu wataisha lakini wapi wakaja na family planning wakagonga mwamba ikaja corona wakasema africa watakufa sana lakini wapi wakasahau kuna MUNGU YUPOKama umebaki kuwa mtumwa wa historia(slave of the past), subiri uone utakavyonyanyasika.
Hata South Korea, Singapore,India, Brasil, Malaysia, na nchi zingine za Dunia ya pili pia zilitawaliwa na kudhulumiwa Kama Africa, lakini wameweka mambo yao sawa na wanajitegemea kwa kiasi kikubwa. Wewe endelea Kulalamika na kucheza karata ya unyonge(victim's card), uone Dunia itakavyokufanya.
Amka Sasa na uaenze kusonga mbele" You can't change the past but you can create your future, Africa stop " cry baby syndrome mentality", the World is moving forward at very high speed, no enough time for dwelling on the past.