bora hata uganda kuliko kenya sipendi kabisa. kwanza kwao haitawezekana usalama ni mdogo alshabab wataliamsha.Hakuna kushirikiana na kenya wala Uganda, tutaandaa wenyewe.
sasa mimi ni Mchagga au Mzanzibari au Mha?Sawa Mzanzibar, tumekuelewa, yote hii ni TZ.
Msilazimishe mambo mkamkwaza mama akaamua kudondosha kitu cha capacity ya 100,000 pale Zanzibar!Kweli kabisa, TZ ya sasa hamna hamna tunahitaji uwanja wenye capacity ya spectators around 30k up to 40k, hapo kdg tutaelewa, lkn co ushuzi wa 15k, hiyo si itakuwa kama viwanja jua kali vya kenya tu.
Kaka wacha mihemko! Hiyo kitu AfCON ni gharama ni bora tugawane hasara!Hakuna kushirikiana na kenya wala Uganda, tutaandaa wenyewe.
Ishu ni viwanja vya CCMViwanja vinavyohitajika ni sita ila sisi tuna viwanja zaidi ya sita ambavyo vinahitaji ukarabati kdg tu.
Ndo maana tunaomba AFCON kwa kushirikiana na Uganda na Kenya tugawane hasara! Michuano huwa haina faida.
dah...unapenda masifa mzee!Sisi kama taifa tunaweza kujenga viwanja na hatuwezi kumbana na changamoto kama wanazopata wengine. Tanzania hata "Chandim" "Kombe la Mbuzi" mitaani watu wanafurika, na hii ndio advantage yatu kubwa. So, whatever the case, kugawana hasara ni vyema lakini tunaitaji viwanja vya mpiara Tanzania.
Ujinga wa kushirikiana na baadhi ya haya mataifa kushindwa kufanikisha azma.
Kivipi?dah...unapenda masifa mzee!
Vielelezzo vyoote na bado huoni hatari iliyopo kuandaa mashindano kama nchi moja pekee!Kivipi?
Sidhani kama unafahamu physics ya heat transfer kwenye nyumba yenye paa ndefu. Unafikiri ni kwa nini makanisa na majumba ya zamani yalikuwa na paa ndefu? Hewa yenye joto hupaa juu na ya baridi hushuka chini, hivyo paa refu linasaidia kuongeza mzunguko wa hewa baridi (cooling effect) ndani ya nyumba.what an ugly soviet communist pitch kind of roofing everywhere 🙄 in danganyika.. looks like Ukraine 😳 or russian