sasa kama hutaki history kwann uwalaumu waafrica? sio suala la kulalamika ni suala la kusimamia haki sio kutumia mabavu kuwaonea nchi zingine, eti kisa ushoga laana zao ndio uwalazmishe wanaume wapandiane

kila wanalojaribu africa linagonga mwamba walikuja na ukimwi wakajua watu wataisha lakini wapi wakaja na family planning wakagonga mwamba ikaja corona wakasema africa watakufa sana lakini wapi wakasahau kuna MUNGU YUPO
Africa inalindwa na MUNGU tu na isingekua MUNGU africa ingekwisha kitambo sana na sasa tunataka multipolar world ili uonevu uishe na laana zao wabaki nazo full stop