Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ujenzi wa uwanja kwa idadi ya watu Elfu kumi na tano (15 000) ni upetezaji wa fedha za umma hasa kwa nchi yenye watu zaidi ya 50million na vichaa wa mpira wanao sapoti timu zao kwa hali na mali, bila kusahau kuwa si mbali toka sasa tukawa na idadi ya watu hata 100million.
Lakini huo uwanja ni wa wanzabari hivyo wanajua idadi halisi ya watu wanaoingia uwanjani.Arabuni Kuna viwanja vya watu 5000,6000 lakini ni vizuri.Kuwa na kitu kizuri ni jambo zuri bila kujali idadi kumbuka huenda huo uwanja ukatumika kama uwanja wa mazoezi tukihost Afcon
 
Basi serikali ikinunue kwanza Kama CCM watakubali kuuza, jambo ambalo CCM hawataki kwasababu ni miongoni mwa vyanzo muhimu sana vya mapato ya chama.

Kule Tanga serikali imetafuta eneo kubwa na nzuri kando kidogo ya mji, Kama ilivyofanya Dodoma na Arusha, Kama eneo la Kirumba ni dogo, watoke nje ya mji kidogo, hakuna jinsi.
Sio kweli eneo la kirumba ni kubwa sana tena sana na linatosha hata wakuchukua mashabiki elf 40
 
Ujenzi wa uwanja kwa idadi ya watu Elfu kumi na tano (15 000) ni upetezaji wa fedha za umma hasa kwa nchi yenye watu zaidi ya 50million na vichaa wa mpira wanao sapoti timu zao kwa hali na mali, bila kusahau kuwa si mbali toka sasa tukawa na idadi ya watu hata 100million.
Kweli kabisa, TZ ya sasa hamna hamna tunahitaji uwanja wenye capacity ya spectators around 30k up to 40k, hapo kdg tutaelewa, lkn co ushuzi wa 15k, hiyo si itakuwa kama viwanja jua kali vya kenya tu.
 
Mimi nawaambia kwa jinsi hali inavyokwenda hii AFCON tutaandaa pekeetu mark my words, Uganda na kenya hawawezi hii game, ofcoarse hata mm sipendi hii michuano tuandae wote, nataka tuandae pekeetu na uwezo huo tunao. Kauli mbiu ni kwamba AFCON 2027 Tanzania inawezekana.

Ikiwa vinchi maskini kama Ivory coast au Mali vimewahi kuandaa bila kushirikiana na mtu yeyote kwnn nchi tajiri na inayopenda football kama Tanzania isiweze.
 
Expressway one year old

20230807_221818.jpg
 
Back
Top Bottom