Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 33,880
- 32,653
Hao nyang'au wanavyopenda ukabila hii haitawezekana abadan!🤣🤣Iko wapi gor mahia day?? 🤣🤣🤣🤣
View attachment 2710162
Hao nyang'au wanavyopenda ukabila hii haitawezekana abadan!🤣🤣Iko wapi gor mahia day?? 🤣🤣🤣🤣
View attachment 2710162
Fala unafuata!Jiskize unavyokaa fala.
Chuki yake kwa kanda ya ziwa haitazuia maendeleo huko. Kuna vitu vingine huwa ni kujiletea stress tu zisizo kuwa na ulazima wowote. Kwangu mimi mkoa wowote hapa Tanzania ukiendelea nafurahi maana mimi, watoto wangu, ndugu zangu na watazania kwa ujumla watafaidi hayo maendeleo in one way or another. TUACHE CHUKI ZA KIJINGA TANZANIA NI MOJA NA KILA MMOJA WETU ANAWEZA KUISHI POPOTE PALE NDANI YA NCHI HII.Usukumani imeingiaje tena hapa?? Geza Ulole umekuaje siku hzi bro 🤣🤣🤣🤣
Tunasubiri mafuta yashuke bei na dollar zipatikane mtaani 🤣🤣🤣🤣🤣Hao wafaransa wa kuboresha terminal 2 wameishia wapi sababu walisema wangeanza kazi June, saivi tupo August
Unaweza kuwa mtu safi tuu ila vitu vya kujinga na ubinafsi ukakufanya uonekane mpumbavu. Sasa hiyo post na Usukuma umeingiaje? Wewe ni mtu mzima mzee changanua maneno kabla ya kupost. Unachuki binafsi na Usukuma ambao haukusaidii kitu.Umeona hii maneno? runway inaongezwa urefu na utawekwa taa ufanye kazi 24 hrs! Hivi Usukumani kuna mtu ana-own hata charter?
Anamatatizo huyo!!
Kwa Simba hii baba hakuna wa kumzuia Mwananchi.
Hamna lolote zaidi ya ubabaishaji tu, awamu hii kitu wanachojivunia ni miradi ya jpm ambayo nayo inaenda kwa mwendo wa kobeHao wafaransa wa kuboresha terminal 2 wameishia wapi sababu walisema wangeanza kazi June, saivi tupo August
kwani ufisadi ni mwingi na wakutisha sana.ndo huwa mnataka kila kitu kipya!Unaweza kuwa mtu safi tuu ila vitu vya kujinga na ubinafsi ukakufanya uonekane mpumbavu. Sasa hiyo post na Usukuma umeingiaje? Wewe ni mtu mzima mzee changanua maneno kabla ya kupost. Unachuki binafsi na Usukuma ambao haukusaidii kitu.
Serikali inajenga uwanja mkubwa Sana wa michezo Tanga (Sports complex) Ili kuachana na Mkwakwani CCM stadium na Arusha kuachana na Sheikh Amri Abeid, ambavyo ni viwanja vya CCM, inapaswa ifanye hivyo hivyo kwa Mikoa mingine, si busara Serikali kuwekeza katika miradi ya vyama vya siasa, vyama vingine vitakua havitendewi haki.Na mikoa mingine kama Kigoma, Singida, Tanga na Morogoro inayotoa wanamichezo wengi ibaki vilevile! wacheni ubinafsi! Ndo maana mnakosa maarifa ukisikiliza arguments zenu za kuboresha jiji lenu utaskia uwanja Mkubwa wa ndege Mwanza kwa vile Mwanza iko karibu na Serengeti na sio potential nyingine zoote za biashara zilizopo huko kama center ya mining EA kama Gauteng province SA!
Hii kitu itawanyamazisha
Kwa kuanzia sio mbaya japo ingefaa watazamaji walau 40,000Serikali inajenga uwanja mkubwa Sana wa michezo Tanga (Sports complex) Ili kuachana na Mkwakwani CCM stadium na Arusha kuachana na Sheikh Amri Abeid, ambavyo ni viwanja vya CCM, inapaswa ifanye hivyo hivyo kwa Mikoa mingine, si busara Serikali kuwekeza katika miradi ya vyama vya siasa, vyama vingine vitakua havitendewi haki.
mbona Arusha hawajajengewa vituo vya mabasi viwili au uwanja mkubwa wa ndege kama wa Mwanza? vp wametendewa haki?Serikali inajenga uwanja mkubwa Sana wa michezo Tanga (Sports complex) Ili kuachana na Mkwakwani CCM stadium na Arusha kuachana na Sheikh Amri Abeid, ambavyo ni viwanja vya CCM, inapaswa ifanye hivyo hivyo kwa Mikoa mingine, si busara Serikali kuwekeza katika miradi ya vyama vya siasa, vyama vingine vitakua havitendewi haki.
Hata Mimi nimeshindwa kumuelewaUnaweza kuwa mtu safi tuu ila vitu vya kujinga na ubinafsi ukakufanya uonekane mpumbavu. Sasa hiyo post na Usukuma umeingiaje? Wewe ni mtu mzima mzee changanua maneno kabla ya kupost. Unachuki binafsi na Usukuma ambao haukusaidii kitu.