Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

How it started
IMG_20230806_102347.jpg
how its going
IMG_20230806_102350.jpg
 
Linganisha huu uwanja na ule upuuzi wakunya wanapost humu.


Hiki kitu ndio nilikuwa nakisema humu uwanja wa CCM Kirumba unahitaji modernization ya namna hii! Ile location pale inahitaji kupewa uzito huu! La sivyo tutasikia mtu kainunua! Ila wakulungwa wa kanda ile wanang'ang'ania uwanja mpya bila kujua wana dhahabu ambayo inahitaji kuwa refined! Mama nae haeleweki badala ya kuboresha kiwanja vya Mwanza pia, naona yupo kimya! Mwanza tayari wana facilities nyingine kama Uwanja wa ndege na hotel ya nyota tano, vituo vya mabasi na zipo zingine zikihitaji kukamilishwa kama JPM bridge na highway yake! Huu uwanja wa Nakivubo kwanza ni mdogo kuliko ule wa Mwanza! Pale CCM Kirumba nafasi yake inatoa si chini ya viti 40,000 na wanaweza hata kuweka na paa pia!
 
Hiki kitu ndio nilikuwa nakisema humu uwanja wa CCM Kirumba unahitaji modernization ya namna hii! Ile location pale inahitaji kupewa uzito huu! La sivyo tutasikia mtu kainunua! Ila wakulungwa wa kanda ile wanang'ang'ania uwanja mpya bila kujua wana dhahabu ambayo inahitaji kuwa refined! Mama nae haeleweki badala ya kuboresha kiwanja vya Mwanza pia, naona yupo kimya! Mwanza tayari wana facilities nyingine kama Uwanja wa ndege na hotel ya nyota tano, vituo vya mabasi zipo zingine zikihitaji kukamilishwa kama JPM bridge na highway yake! Huu uwanja wa Nakivubo kwanza ni mdogo kuliko ule wa Mwanza! Pale CCM Kirumba nafasi yake inatoa si chini ya viti 40,000 na wanaweza hata kuweka na paa pia!
Huu ni uwanja wa CCM, serikali haiwezi kuingiza pesa.
 
Unazungumza Kama vile upo ndani ya ubongo wa M7, huko ndiko anakowaza Museven, mama anachohitajika kufanya ni kuwa "assertive" kidogo tu kumshawishi M7 Kama tulivyofanya katika Bomba la mafuta, hakuna jinsi ambavyo Uganda wataunganisha SGR na Kenya, yaani hiyo haipo kabisa.
Mu7 mwenyewe ashasema Tanzania his second home,anasogezea goli karibu tushindwe kufunga wenyewe tu
 
Back
Top Bottom