Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mu7 mwenyewe ashasema Tanzania his second home,anasogezea goli karibu tushindwe kufunga wenyewe tu
Hapo ndo mnapokosea kuhusu Kaguta, Museveni hataki kuweka gololi zote kwenye kifuko kimoja cha pumbu! Kama ni hivyo angekuwa tayari ashatangaza msimamo wake! Sisi tujenge mpaka mpakani wa Tanzania na Uganda na tuache kujiaminisha ati yupo upande wetu!
 
kwahiyo uachwe ukioza pale? kwahiyo hamna namna serikali inaweza kuingia makubaliano na CCM ikaukarabati?
Biashara ya CCM hiyo, wenyewe wanaridhika na hali hiyo, Kama serikali hairidhiki wanunue huo uwanja Kama CCM itakubali kuuza, la sivyo serikali ijenge kiwanja chake pale Nyamagana, Nyamagana ndio kiwanja Cha serikali.
 
Biashara ya CCM hiyo, wenyewe wanaridhika na hali hiyo, Kama serikali hairidhiki wanunua huo uwanja Kama CCM itakubali kuuza, la sivyo serikali ijenge kiwanja chake pale Nyamagana, Nyamagana ndio kiwanja Cha serikali.
Na mikoa mingine kama Kigoma, Singida, Tanga na Morogoro inayotoa wanamichezo wengi ibaki vilevile! wacheni ubinafsi! Ndo maana mnakosa maarifa ukisikiliza arguments zenu za kuboresha jiji lenu utaskia uwanja Mkubwa wa ndege Mwanza kwa vile Mwanza iko karibu na Serengeti na sio potential nyingine zoote za biashara zilizopo huko kama center ya mining EA kama Gauteng province SA!

Hii kitu itawanyamazisha
 
Na mikoa mingine kama Kigoma, Singida, Tanga na Morogoro inayotoa wanamichezo wengi ibaki vilevile! wacheni ubinafsi! Ndo maana mnakosa maarifa ukisikiliza arguments zenu za kuboresha jiji lenu utaskia uwanja Mkubwa wa ndege Mwanza kwa vile Mwanza iko karibu na Serengeti na sio potential nyingine zoote za biashara zilizopo huko kama center ya mining EA kama Gauteng province SA!

Hii kitu itawanyamazisha

Wajitahidi bombadier q400 zitue na airbus A320 zitue pia itakua bomba sana

Kumbe bombadier zinatua wajitahidi airbus pia zitue

 
Wajitahidi bombadier q400 zitue na airbus A320 zitue pia itakua bomba sana

Kumbe bombadier zinatua wajitahidi airbus pia zitue


Umeona hii maneno? runway inaongezwa urefu na utawekwa taa ufanye kazi 24 hrs! Hivi Usukumani kuna mtu ana-own hata charter?
 
kule Skyscapercity niliwapeleka puta mpaka wakani-block Bantugbro na NairobiWalker wanajua!
Hukupeleka yeyote popote. Ulikuwa na hasira na ubishi wa kipuuzi ndio maana ukala block. Ulidhani hapo ni JF. Ulianzisha ugomvi kati ya Kenya na Tz ambao haukuwepo alafu kule mods hatolerate ushabiki wa kipuuzi bila evidence. Ukakuja na profiles fake nyingi zikakula block zote.
 
Hukupeleka yeyote popote. Ulikuwa na hasira na ubishi wa kipuuzi ndio maana ukala block. Ulidhani hapo ni JF. Ulianzisha ugomvi kati ya Kenya na Tz ambao haukuwepo alafu kule mods hatolerate ushabiki wa kipuuzi bila evidence. Ukakuja na profiles fake nyingi zikakula block zote.
Kama sikuwapeleka puta, mbona mkashitaki kwa owner wa blog nifungiwe? Na ukaja huku sio? Kunifuata? huku nawakung'uta ninavyotaka! Fitna yenu inaishia kule na nikitaka narudi namuambia Bantugbro!! Popote pale hamuniwezi iwe Skyscrapercity au Jamiiforums! BTW kumedorora hamna mtu anaenda kule!
 
Iko wapi gor mahia day?? 🤣🤣🤣🤣
20230806_173255.jpg
 
Kama sikuwapeleka puta, mbona mkashitaki kwa owner wa blog nifungiwe? na ukaja huku sio? Kunifuata? huku nawakung'uta ninavyotaka! Fitna yenu inaishia kule na nikitaka narudi namuambia Bantugbro!! Popote pale hamuniwezi iwe Skyscrapercity au Jamiiforums!BTW kumedorora hamna mtu anaenda kule!
Jiskize unavyokaa fala.
 
Back
Top Bottom