Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tenders have started being a floated after high court allowed the finance bill. We are about to experience construction like never before in Kenya
20230803_202430.jpg
 
Tatizo siyo uarabu bali utu na maslahi ya nchi, kwa taarifa yako wa Algeria huwa hawaipendi Morocco jirani zao, ambako pia kuna waarabu.
Sasa kwani Waarabu wa Dubai au Saudia Wana shida gani? Tena Waarabu wa Saudia,Dubai,Oman,Kuwait ,Egypt wamekuwa na Msaada zaidi kwa.miaka Mingi Kwa Tanzania kuliko hata hao Russia unawashadidia Kila siku hapa.

Leo hii Tanzania tuna soko kubwa sana la nyama Uarabuni.

Cold rooms mbioni kujengwa Mbeya
 
Sasa kwani Waarabu wa Dubai au Saudia Wana shida gani? Tena Waarabu wa Saudia,Dubai,Oman,Kuwait ,Egypt wamekuwa na Msaada zaidi kwa.miaka Mingi Kwa Tanzania kuliko hata hao Russia unawashadidia Kila siku hapa.

Leo hii Tanzania tuna soko kubwa sana la nyama Uarabuni.

Cold rooms mbioni kujengwa Mbeya

Hatuna tatizo na waarabu wowote isipokuwa mkataba wa DP world na kugawiwa kwa mbuga zetu tuu. Warusi tumekuwa na mahusiano nao kihistoria, hizo AK walizonazo wanajeshi na polisi unafikiri zimetoka wapi?
 
kule Skyscapercity niliwapeleka puta mpaka wakani-block Bantugbro na NairobiWalker wanajua!
Wakenya ndivyo walivyo, hawakubali mawazo kinzani, ndio sababu fujo, ukabila na fujo za kisiasa haziwezi kwisha kwao, yaani wao Kila mmoja anajiona yupo sahihi kuliko mtu yeyote, Sasa nchi ya watu 50M na Kila mmoja yupo sahihi, patakalika kweli?
 
Back
Top Bottom