joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Wewe ndio mwenye shida, hivi Mimi nikikuona unashirikiana na maadui zangu wakati wewe ni rafiki yangu ninakupa Siri zangu, Mimi nikiamua kuvunja urafiki na wewe kwa maslahi yangu, shida ipo wapi?.Bro mm naona unatoka nje ya mada kidogo hapa tunachozungumza ni kua kila nchi iko huru hakuna nchi ikawa nu mume na nchi nyingine ikawa ni mke, na kama unatumia mfano huo maana yake ni africa nzima iko kwenye ukoloni tena[emoji28][emoji28]
Issue ni kwamba marekani anawapangia watu marafiki wakua nao ilihali kila nchi iko huru au labda utuambie ww nchi gani haiko huru huenda sijui mm
Kama kuna nchi zimependa kua na urafiki na russia aziache na asitoe mkwara kwa nchi hizo yani mfano wako ww uko nje ya mada ukisema mume na mke maana yake ni ndoa tena [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani wewe uwe huru kuchagua marafiki zako, lakini Mimi nisiwe huru kuvunja urafiki vile nitakavyo?. Kama nilichagua kuwa rafiki na wewe kwasababu ninazozijua mwenyewe, iweje Leo nimeona sababu za kuuvunja huo urafiki wewe unasema sio demokrasia?.
Marekani haijasema itazipiga nchi zenye Uhusiano na Urusi, bali itatezama upya ushirikiano wake na nchi hizo, tatizo lipo wapi?