ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,426
- 85,252
Relationship inahusika vp hapo?Mkuu tofautisha kati ya demokrasia na relationship, Sina uhakika Kama unajua tofauti.
Watakula nyasi bro 🤣🤣🤣Imabidi wa upgrade to Gulfstream GXXX![]()
Kama Mimi na wewe ni maadui, utapenda mke wako, ndugu zako au marafiki zako wawe na mashirikiano au ukaribu na Mimi?, kuwa mkweli usiwe mnafiki, hiyo ndio maana ya "relationship".Relationship inahusika vp hapo?
Hvi mm nikiwa na ugonv na ww je nitataka niwe na ugonv na familia yako yote? ww huon kama hii dunia ni huru kwann mtu anipangie marafiki wakua nao na wale sitokua nao? Sio mm ndio natakiwa nichague mwenyewe yupi niwe na urafiki na yupi nisiwe na urafiki au bado tupo kwenye ukoloni??😅😅😅Kama Mimi na wewe ni maadui, utapenda mke wako, ndugu zako au marafiki zako wawe na mashirikiano au ukaribu na Mimi?, kuwa mkweli usiwe mnafiki, hiyo ndio maana ya "relationship".
Mahusiano yanahusisha "Social boundaries" zaidi. Kwa kumzuia mtoto wako au jamaa zako wa karibu kwenda kucheza, kuzungumza au kuwa katika kundi Moja na watu au jamaa ambao unadhani sio watu sahihi ki maadili na matendo yao, hakuna Uhusiano wowote na demokrasia.
Mbona dini zetu zinakataza kufunga ndoa na watu wenye dini tofauti na sisi, mbona husemi sio demokrasia?
😅😅😅😅 tukisema ukweli tunaonekana wabaya