Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mashakahola hayawezi kuishi bila serikali kuyalipia chakula, eti hawa ndio capitalists 😂😂😂

Hata enzi za vijiji vya ujamaa serikali haikuwahi kuwagharamia wananchi chakula bali iliwamobilize kwenye vijiji wajilimie vyakula vyao na wajitegemee, shakahola 21st century serikali inaingia kwenye madeni kuwanunulia wananchi ugali 🤣🤣🤣

 
It has come back to bite them.

View attachment 2694000
Mbona hatujayumba.Unapaswa kutofautisha kati ya mataifa yanayotegemea mkate na mataifa ambayo mkate ni subsidiary tu.Hakuna tatizo lolote la hiyo sekta Tanzania maisha yanaenda tu.Na tumeanza kufufua kilimo Cha ngano
 
Jeshi la Wananchi Tanzania hutumia ndege za mwaka gani!?
20230720_183119.jpg
 
Wanasema haya ndio matunda ya freedom na katiba mpya


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hata mimi huwa sielewi maana ya hii freedom na katiba mpya.

Watanzania wanatakiwa kuangalia hiki kitu kwa umakini sana.Katiba mpya haileti maendeleo na ustaarabu bali watu wenyewe ndio wabadilike waitumie katiba mpya kufanya maendeleo.
 
Back
Top Bottom