Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,919
- 103,788
MY TAKE
Hawa si tuwauzie na mapanga kabisa? Ila mama naye afunge mdomo wake, asiwaamshe waliolala!
We know all how it will end, refer back to the issue of foreign currency reserves and port. Roho chafu kuanzia rais mpaka mkaazi wa chini
Kuongozwa na mwanake ni mbaya Sana, mood swings kidogo anaanza kuhara na mdomoKenya has never been in competition with Danganyika i dont know why she keeeps referring to us as "nchi jirani" when Tanzania has many neighbours
Hao wazee watatoka kabila gani? Nchi ikishakuwa na ukabila kama ilivyo kwa Kenya usitegemee kwamba kuna muafaka wa kisiasa utapatikana kutokana na wao wenyewe. It is only the international community that can help to reduce political tensions through round table negotiations!Hivi Kenya Hakuna wazee wenye hekima na busara wa kuweza kuwakalisha chini Raila na Rutto?
Hivi Kenya Hakuna akina mama waombolezaji, mbona mambo mnayaacha yaende namna hii.?
Msipoziba ufa wakati wa amani;mtajenga ukuta huku mkiomboleza.
Ni ushauri tu wa mtu mjinga.
Ninashangaa kitu kimoja, wakati wa Uhuru hawakutaka kushare ugali kwa meza.Sasa why kipindi cha Rutto ndio wameona huyu wanatakiwa kushare naye ugali?Odinga anataka washee ugali kwa meza na Ruto. Pia mashakahola yanataka ugali kwa meza . Remember in Kenya if you are not a politician then no ugali utakuwa ni mtu wa mlo mmoja wa kubahatisha makazi kibera, mathare, ukiwa na afadhali kidogo pipeline![]()
Ngoja sasa uwasikie wanavyojisifia kwa kuanza na the most,...beautiful, expensive n.k in East and Central Africa.Hizo uniform za police kenya kwa kweli walichemka sana. Hzo zilitakiwa kuwa za jeshi (KDF). Kwa mgeni akifika Kenya kwa mara ya kwanza akawaona hao police atadhani ni wanajeshi. Uniform za police zinatakiwa kuwa plain bila mabaka mabaka. Kusema ukweli sijawahi kupenda hizo uniforms za police wa Kenya zinaoonekana mbaya na kwa wengi wa police zinonekana ni oversize.


Na wakianza kukatana wasikimbilie huku kwetu wamalizane huko huko kwao,si wameamua wote kuwa wakubwa bwana hakuna kusikilizana.
MY TAKE
Hawa si tuwauzie na mapanga kabisa? Ila mama naye afunge mdomo wake, asiwaamshe waliolala!
Ndio maana niliuliza hilo swali na Wakenya wa humu hawakutaka kulijibu sababu wanaijua nchi yao,hawana umoja.Hao wazee watatoka kabila gani? Nchi ikishakuwa na ukabila kama ilivyo kwa Kenya usitegemee kwamba kuna muafaka wa kisiasa utapatikana kutokana na wao wenyewe. It is only the international community that can help to reduce political tensions through round table negotiations!
Mention one person who killed by police bullet, I will give you 100 Kenyans killed, the ratio is 1:100In Tanzania, they kill opposition leaders




Doesn't matter how it will end, what matters is the numbe of lives lost.We know all how it will end, refer back to the issue of foreign currency reserves and port. Roho chafu kuanzia rais mpaka mkaazi wa chini
Nenda kavae sufuria wewe nyang'au; acha kurandaranda mitandaoni🤣🤣In Tanzania, they kill opposition leaders
Kama tpdf ausio🚮Nenda kavae sufuria wewe nyang'au; acha kurandaranda mitandaoni🤣🤣
Ulisikia wapi?😂Kama tpdf ausio🚮
That is misinterpretation by your media she did not mock but said Tanzania is witnessing an influx of investors who abandoned the Kenyan market.We know all how it will end, refer back to the issue of foreign currency reserves and port. Roho chafu kuanzia rais mpaka mkaazi wa chini
Jiwe lililorushwa gizani limekupataKenya has never been in competition with Danganyika i dont know why she keeeps referring to us as "nchi jirani" when Tanzania has many neighbours




Ukiona povu jingi ujue dawa imeingia yote hadi sindano imegonga mfupaKuongozwa na mwanake ni mbaya Sana, mood swings kidogo anaanza kuhara na mdomoView attachment 2694132



