Mkuu waliokuwa na haki miliki ya ugali wako nje ya dining hall intruder ndio anakula ugali peke yake kwa dinning room sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ninashangaa kitu kimoja, wakati wa Uhuru hawakutaka kushare ugali kwa meza.Sasa why kipindi cha Rutto ndio wameona huyu wanatakiwa kushare naye ugali?
Maisha yamepandaje kiasi hicho hadi wakose uvumilivu. Gharama za maisha ziko juu kwa kila nchi;na sasa hivi zitapanda pia maana Russia kajitoa kwenye makubaliano ya usafirishaji wa nafaka na Ukraine, tena jana kashambulia ghala la nafaka la Ukraine katika mji wa Odessa na kuharibu takribani tani 60000 za nafaka, shakahola watasemaje hapa?