Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nairobi CBD
Someone with pictures of DAR CBD Street level, want to see something
View attachment 2692586View attachment 2692587View attachment 2692588View attachment 2692589
This is Naipori street level pia
Screenshot_20230720-012023_Opera.jpg
Screenshot_20230720-012012_Opera.jpg
Screenshot_20230720-011957_Opera.jpg
 
Hii ndio hali naiona Kenya huko wanakokwenda ni pabaya sana, kwenye katiba yao ndivyo inavyosema?

Odinga anataka nini, kwanini wasimpe muda Rutto, au kwa vile si Mkikuyu?

Ukabila ni ugonjwa mbaya sana aisee.
Odinga anataka washee ugali kwa meza na Ruto. Pia mashakahola yanataka ugali kwa meza . Remember in Kenya if you are not a politician then no ugali utakuwa ni mtu wa mlo mmoja wa kubahatisha makazi kibera, mathare, ukiwa na afadhali kidogo pipeline
 
Unapoweka maduka ya kubadili fedha za kigeni kwenye nyumba za wageni unapunguza usalama wao hapo hotelini.
Akili ya kimagufuli hii dunia nzima vitu Kama hivyo vipo! BTW sheria ndo hiyo inapotishwa.
 
Akili ya kimagufuli hii dunia nzima vitu Kama hivyo vipo! BTW sheria ndo hiyo inapotishwa.
Hilo wazo la Bureau de change mahotelini ni njia ya kutakatisha pesa, utalii kisingizio. Watu wameiba pesa sasa wanatafuta njia ya kuzitorosha kiulaini.

Magufuli akili kubwa ile, leo ungekuwa na jeuri gani ya kuwatambia wakenya kuwa tuna treni ya umeme. Huyu mama yenu anaakili gani ya kuongoza nchi zaidi ya uchuuzi, nchi inamshinda maji yanakatika kila siku, wakati wa Magu yalitiririka masaa 24.
 
Hilo wazo la Bureau de change mahotelini ni njia ya kutakatisha pesa, utalii kisingizio. Watu wameiba pesa sasa wanatafuta njia ya kuzitorosha kiulaini.

Magufuli akili kubwa ile, leo ungekuwa na jeuri gani ya kuwatambia wakenya kuwa tuna treni ya umeme. Huyu mama yenu anaakili gani ya kuongoza nchi zaidi ya uchuuzi, nchi inamshinda maji yanakatika kila siku, wakati wa Magu yalitiririka masaa 24.
Peleka mawazo mgando toka nje ya Bongo uone vitu vikienda! Ni kitu cha kawaida Bureau de Change na Travelling agencies kuwepo Mahotelini! Utoroshaji kivp wakati taasisi za ukaguzi zipo?
 
Peleka mawazo mgando toka nje ya Bongo uone vitu vikienda! Ni kitu cha kawaida Bureau de Change na Travelling agencies kuwepo Mahotelini! Utoroshaji kivp wakati taasisi za ukaguzi zipo?
Kama suala ni kurahisishia watalii kwa nini wasiwawekee ATM mahotelini, wakitoa pesa zinatoka za madafu, tatizo liko wapi?
 
Back
Top Bottom