Gwakagwaka
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 525
- 1,424
😅😅😅😅
Hivi hizi mbwa zina Nairobi nyingine tofauti na ninayoiona kwenye maandamano?
😅😅😅😅
Hii ni nini?? Dampo ya takataka au??🤣🤣
Cheka na hizi kwanza 🤣🤣👇👇👇Hebu tuwekee picha ya baadhi ya streets ndani ya cbd yenu tucheke
Jifunze kitu kimoja kuhusu Tanzania, we are The Godfather of inclusive economy in Afrika, anything we build or entertain to build is to serve the needs of the mass. Hapo Ubungo pakikamilika njoo mwenyewe uone, utakuta Wazambia, Wacongo, Wamalawi, Waganda, Warundi, Wanyarwanda, Wazimbabwe na hadi Wakenya wanashop, lakini hapo River Mall in 0.5% ya Nairobians ndio utawakuta hapo, so acha compare ujinga.Two rivers giving you sleepless nights 🤣🤣🤣🤣
Hahah another china square, ndio kariako ikufee vizuriNo stone shall remain standing,
That very small drab little two rivers will remain in story books as the mighty, mesmerizing ultramodern $120m, 75K square meters East African Business & Logistics Center in Ubungo Dar es Salaam Takes Shape.
We are back to our Glory
View attachment 2692855
View attachment 2692856
View attachment 2692857
View attachment 2692858
View attachment 2692859
View attachment 2692860
View attachment 2692861
Hio ni mecca ya athletics, lazima wazungu waje kufanya sports pilgrimHii ni nini?? Dampo ya takataka au??🤣🤣
Kaandamane huko! Au jifungie ndani upumzike!!Tanzanians here never show their street level, they know the decay that is there.



Utasubiri sana.🤣Hahah another china square, ndio kariako ikufee vizuri
watu wamechoka na kodi za kipuuzi!Hii ndio hali naiona Kenya huko wanakokwenda ni pabaya sana, kwenye katiba yao ndivyo inavyosema?
Odinga anataka nini, kwanini wasimpe muda Rutto, au kwa vile si Mkikuyu?
Ukabila ni ugonjwa mbaya sana aisee.
waulize mabenki labda hailipi! Bureau de Change lazma ziwepo nenda kokote unazikuta!Kwa nini wasiimarishe mifumo wa kutumia mastercard na Visa au hata Unipay kwenye utalii? Na kwenye mahoteli waweke ATM za kutosha ili mtalii aweze kutoa pesa anazo hitaji 24x7
Baadaye watajikuta katika hali mbaya ya uchumi kwa maamuzi yao haya ya kijuakali.watu wamechoka na kodi za kipuuzi!