Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Two rivers giving you sleepless nights 🤣🤣🤣🤣
Jifunze kitu kimoja kuhusu Tanzania, we are The Godfather of inclusive economy in Afrika, anything we build or entertain to build is to serve the needs of the mass. Hapo Ubungo pakikamilika njoo mwenyewe uone, utakuta Wazambia, Wacongo, Wamalawi, Waganda, Warundi, Wanyarwanda, Wazimbabwe na hadi Wakenya wanashop, lakini hapo River Mall in 0.5% ya Nairobians ndio utawakuta hapo, so acha compare ujinga.
 
No stone shall remain standing,
That very small drab little two rivers will remain in story books as the mighty, mesmerizing ultramodern $120m, 75K square meters East African Business & Logistics Center in Ubungo Dar es Salaam Takes Shape.
We are back to our Glory
View attachment 2692855
View attachment 2692856
View attachment 2692857
View attachment 2692858
View attachment 2692859
View attachment 2692860
View attachment 2692861
Hahah another china square, ndio kariako ikufee vizuri
 
Ugali lazima upiganiwe. Watu wamechoka na kila kitu
 

Attachments

  • 16897619670165411538175433194363.jpg
    16897619670165411538175433194363.jpg
    612.3 KB · Views: 10
Kwa nini wasiimarishe mifumo wa kutumia mastercard na Visa au hata Unipay kwenye utalii? Na kwenye mahoteli waweke ATM za kutosha ili mtalii aweze kutoa pesa anazo hitaji 24x7
waulize mabenki labda hailipi! Bureau de Change lazma ziwepo nenda kokote unazikuta!
 
Back
Top Bottom