tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Sasa tuone atafanya kazi ganiHuyu anakuwa anasoma hivi Ili iwe nini hasa?
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Sasa tuone atafanya kazi ganiHuyu anakuwa anasoma hivi Ili iwe nini hasa?
hiyo ni passion yake mzee huwezi jua labda atataka kuja kufanya research on interlinkage btn engineering and medicine! Wacha kumkejeli mzee! kwani unadhani field ya Biochemistry ilikujaje? Biopyhsics je? Wewe ukimbiaji umande wako usifanye ukasirike juu yake!Africa Huwa Kuna watu wajinga sana ndio maana kusoma haina maana kwamba una IQ au EQ kubwa.
Sema wazungu ni matapeli. Kampuni inaanzaje kuuza hisa zake kabla ya hata haijatengeneza faida.
Cc NairobiWalker mana alileta vi article vyake uchwara vya kutengeneza chumbani kwake, haya taasisi ya kuaminika kabisa, pinga na hiyo sasaUniversities za Tanzania, top notch in Africa








Nchi ya kisenge sana hii, kama hakuna serikali aisee.
Sikilizen hii