Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Aache uzushi huyo mpuuzi, Bandari imeuzwa wapi na Kwa bei gani?
Mkuu, subject hapa sio bandari, ni kutishiwa maisha kutokana na kuikera serikali, Yale Yale ya Tundu Lisu yanaendelea.

Lengo ni kumuonyesha ichoboy01 kwamba, Africa demokrasia bado ni nadharia Sana, yaani uvumilivu ni hakuna kabisa.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Unaniletea figures za Tanzania against eac nzima na unaclaim mnaenda kudouble trade deficit na kenya. Trade deficit between kenya na Tanzania ni kidogo sana inaishinda ikishift kulingangana na seasons. Hamna siku mtatuuzia mara mbili ya tunachowauzia, labda kwa ndoto. Alafu pitia hio post yako, ulikua unazungumzia kugenerate umeme through geothermal ni very expensive ukilinganisha na hydroelectric nikakuambia ulete figures tuone zimewachana na ngapi
Hizi hapa za Kenya vs Tanzania
Kenya and Tanzania trade now EAC’s fastest-growing

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, subject hapa sio bandari, ni kutishiwa maisha kutokana na kuikera serikali, Yale Yale ya Tundu Lisu yanaendelea.

Lengo ni kumuonyesha ichoboy01 kwamba, Africa demokrasia bado ni nadharia Sana, yaani uvumilivu ni hakuna kabisa.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Akaripoti Polisi Ili Apewe Ulinzi hao ndio wenye dhamana kuliko kututangazia sisi maana zaidi ya kumpa pole hakuna kingine tutamsaidia maana hatujui nani wanamtishia ila yeye kwenye maelezo yake anadai ni kutokana na msimamo wake wkihusu Bandari na kasema hakuna wa kumyamazisha Sasa tutafanyaje Mkuu..

Anajua yeye na hao wanaomtishia.
 
Galana kulalu
FB_IMG_16886387818241782.jpg
FB_IMG_16886319559767570.jpg
 
Akaripoti Polisi Ili Apewe Ulinzi hao ndio wenye dhamana kuliko kututangazia sisi maana zaidi ya kumpa pole hakuna kingine tutamsaidia maana hatujui nani wanamtishia ila yeye kwenye maelezo yake anadai ni kutokana na msimamo wake wkihusu Bandari na kasema hakuna wa kumyamazisha Sasa tutafanyaje Mkuu..

Anajua yeye na hao wanaomtishia.
Mkuu, Tundu Lisu alitoa taarifa polisi kuwaambia kwamba Kuna gari inamfuatafuata Sana, na hata namba za gari aliwapa, lakini hakuna hatua zilizochukuliwa hadi alipopigwa risasi.

Dr. Ulimboka alipopigwa na kuteswa, aliwapa namba za simu za watu wote aliokua akizungumza nao hadi alipotekwa, Gazeti la Mwanahalisi lilipochapisha majina ya wamiliki wa hizo namba za simu, Gazeti lilifungiwa na hadi Leo hakuna hata mtu mmoja aliyekamatwa.

Nape Nauye alipotishiwa kwa bastola hadharani, tukio lilikua "Live" katika TVs, mbele ya polisi wa kituo Cha Oysterbay, hakukamatwa hadi Leo, polisi wanasema muhusika sio polisi, Kama sio polisi na anamiliki bastola na kutishia raia hadharani mbele ya polisi na hakamatwi, maana yake ni kwamba sio jambazi, Wala sio polisi.

Mkuu, sisi waafrika ni hovyo sana, bado tupo nyuma kwa Kila jambo.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom