Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ni lini Tanzania utaikuta inaongelea cheap issues kama hizi? 😂😂😂



Mbona wakundustan msiwe na mawazo ya entrepreneurship kama Tanzania commercialize the challenge instead of this mud wrestling with them, hivi hapa nani mwenye akili za kicommunism na yupi ni capitalist kati yetu in dealings? 😂😂😂

 
Ni lini Tanzania utaikuta inaongelea cheap issues kama hizi? 😂😂😂



Mbona wakundustan msiwe na mawazo ya entrepreneurship kama Tanzania commercialize the challenge instead of this mud wrestling with them, hivi hapa nani mwenye akili za kicommunism na yupi ni capitalist kati yetu in dealings? 😂😂😂


Ni sawa ila Sasa haya mashamba yalitakiwa kuwa Nje mbali na maeneo ya Miji..

Haya masuala yalisababishwa na ufinyu wa akili ya Watendaji wa Serikali maana Miji inakua Sasa kuwa na mashamba Mjini sio sawa..

Iko hivyo Arusha,Mbeya,Songwe/Vwawa na Mwanza Ukirigulu..

Mimi naona Serikali iwatafutie maeneo makubwa Nje ya Miji na maeneo ambayo ndiko shughuli kubwa za Kilimo zinafangika na sio hapo Mjini.

Kiufupi sikubaliani na Bashe,Hifadhi kibao zinafutwa na watu wanapewa mashamba Kwa nini wao wasione Busara waombe Serikali iwape maeneo Nje ya Miji?
 
Kanakuambia chilling out

Hawa Wakenya ni fukara wallahi
FB_IMG_16886220768487984.jpg
 
Wakenya wanatamani mradi uwe wao maana kwao miradi mikubwa ni maghorofa ya wachina
Hatuhitaji kuunda dams za kugenerate umeme, tuko na geothermal na tunainvest huko. Dams tunazounda ni za irrigation , wacha kuwa mjinga si lazma tucopy each other
 
Back
Top Bottom