Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,393
- 5,800
Nairobi Expressway cuts through the heart of CBD, 27km of engineering marvel
View attachment 2678303
Hali ni ngumu sana ila kwakuwa tuko pamoja kwenye EA community hakuna jinsi zaidi ya kuwabeba tuu ili na sie wengine tusiathirike na kuanguka kwao.Kwakweli sijui hatma ya nchi ya Kenya katika miaka 5 ijayo itakuaje
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Jina limetoka wapi tena hapa mbona unashangaza hivi au kichwa chako ni kigumu kuelewa simple question? Swali umeulizwa Obama ni mweusi ama sio?huko kwenu Tangagiza mtoto jina ni la baba au mama? Familia watoto wanasemekana ni wa nani?
si ni mweusi. Mbona unaogopa kugoogle kitu rahisi kama hicho? You must be an illiterate moronJina limetoka wapi tena hapa mbona unashangaza hivi au kichwa chako ni kigumu kuelewa simple question? Swali umeulizwa Obama ni mweusi ama sio?
Sasa wewe unajibu mara mjaluo sijui mtoto jina unachukua kwa baba hii yote ni kukwepa swali ama ni uelewa mdogo?
Tumetembelea kuangalia mlipokosea na sisi tusikosee kama nyie mfano mzuri umeona kwenye SGR [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nairobi Expressway ni mfano murwa wa PPP hadi wadanganyika CCM imebidi watembelee Kenya kujifunza kuhusu expressway na PPP ata kama wanaskia wivu
View attachment 2678298View attachment 2678299View attachment 2678300
Hiyo inaitwa kujifunza kwa lugha nyingine. Kenya ndio mwalimu hapa East Africa. SGR karibia miaka kumi bado kipande cha 100km hakijaisha wakati Kenya ata tumechoka na SGR [emoji1787][emoji1787]Tumetembelea kuangalia mlipokosea na sisi tusikosee kama nyie mfano mzuri umeona kwenye SGR [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We mshakahola your brain is seriously scrambled sio kwa argument ya kipumbabu kama hii.si ni mweusi. Mbona unaogopa kugoogle kitu rahisi kama hicho? You must be an illiterate moron
Nyie ni wanafunzi vilaza mlitembelea brt Tz kujifunza bado mkatoka na F na mpaka leo your brt is a joke [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hiyo inaitwa kujifunza kwa lugha nyingine. Kenya ndio mwalimu hapa East Africa. SGR karibia miaka kumi bado kipande cha 100km hakijaisha wakati Kenya ata tumechoka na SGR [emoji1787][emoji1787]
Tanzania ndio nchi ya kwanza kujenga SGR hapa East Africa.Hiyo inaitwa kujifunza kwa lugha nyingine. Kenya ndio mwalimu hapa East Africa. SGR karibia miaka kumi bado kipande cha 100km hakijaisha wakati Kenya ata tumechoka na SGR [emoji1787][emoji1787]
Tatizo hayabebeki haya majibwa, huko Saudia wanafanya fujo sana, wanaua waarabu na kuwaibia, hawa jamaa ni laana tupuHali ni ngumu sana ila kwakuwa tuko pamoja kwenye EA community hakuna jinsi zaidi ya kuwabeba tuu ili na sie wengine tusiathirike na kuanguka kwao.
Mumewahi kumaliza Ili muwahi kupata hasara?, Reli yenu ni mzigo kwa raia, haijawahi kutengeneza faida na kuanzia mwezi huu mnaanza kulipa deni lake, Kenya ni mfano mzuri wa kujifunza "Failures".Hiyo inaitwa kujifunza kwa lugha nyingine. Kenya ndio mwalimu hapa East Africa. SGR karibia miaka kumi bado kipande cha 100km hakijaisha wakati Kenya ata tumechoka na SGR [emoji1787][emoji1787]