Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tazara tu imeshatumia zaidi ya bilioni 6 kununua vifaa vya kupakia na kushusha mitambo ya JNHP, jiulize ni mitambo kiasi gani, juzi kati tazara imenunua well-wagons kutoka China, ndio wagon yenye uwezo wa kubeba uzito mkubwa kuliko wagons zote za reli Africa

Mitambo iliotumika JNHP ni mingi kiasi cha kuinua hata numbers za mzigo uliohudimiwa na Dar port kwa zaidi ya 4%



Sawa kwani hizo Mitambo ni Asilimia ngapi ya gharama ya mradi?
 
Sawa kwani hizo Mitambo ni Asilimia ngapi ya gharama ya mradi?
Inaweza kufika 50% ya project total cost, mitambo sio bei rahisi hata kidogo

Bado kuna international subcontractors wengi walioshiriki na wote hawa terms of payments ni by USD, bado pesa nyingi za kigeni zimetoka Tanzania kwenda overseas hata kama sio kununua mitambo basi ni kulipia foreign knowhows

 
Inaweza kufika 50% ya project total cost, mitambo sio bei rahisi hata kidogo

Bado kuna international subcontractors wengi walioshiriki na wote hawa terms of payments ni by USD, bado pesa nyingi za kigeni zimetoka Tanzania kwenda overseas hata kama sio kununua mitambo basi ni kulipia foreign skills


Sasa 50% ya Dola Bil.6.5 huoni mpaka hapo nusu inabakia Tanzania ambayo inachangia sehemu kubwa ya ku drive uchumi?
 
Sasa 50% ya Dola Bil.6.5 huoni mpaka hapo nusu inabakia Tanzania ambayo inachangia sehemu kubwa ya ku drive uchumi?
Ni 6.5 trillion tsh sio $

Kama ni nusu ni $1.5b japo sina hakika kama yote hii imeenda kwenye local content, sasa gawanya hiyo pesa kwa muda wote mradi umekua ukifanyika miaka minne sasa, utaona bado ni pesa ndogo, gold pekee inaingiza $3B kwa mwaka
 
Vita gani acha blaa blaa ,investors wamerudi Kwa sababu ya Imani ya Rais aliyepo,nani alete pesa zake mumpore?

Wewe ukiachilia huna akili za kutosha za kuzaliwa pia una elimu ndogo na ulikuwa ukifanya vibaya sana darasani.

Wawekezaji hawawekezi nchini kwa imani na Rais aliye madarakani wewe punguani.
Unasikitisha sana.
 
Actually ukikaa na kuwaza vizuri Dar inahitaji vyote , ndo maana nilitamani BRT iende sambaba na kuweka Njia nane kwenye phase zake ,lakini naona budget imeshindikana .Ni Bora wafikirie kabisa na kuacha reserve ya kutosha kama hela haitoshi sasa .Maana Njia 8 to 10 zinahitajika in 10 to 15 years time
1.Posta to Kibaha
2.Posta to Vikindu
3. Posta to Bunju
4 . Posta to Gomz

Phase zote 6 za BRT Zitaisha before 2030 hiyo ndo plan ..Na baada ya 2025 we are likely to see Mwanza , Dodoma na Arusha plus or minus Mbeya Kuanza kupata BRT.

Wakati huo Dar wataanza kujenga Light Railways ..Hii itasaidiana sana kwenye Mass Transit
Kipande cha kutoka ubungo mpaka kimara mwisho ni mtihani sana,ile barabara iongezwe lane 1 maana ukivuka mfugale unakutana kiminyo kuanzia kibo pale hadi kimara mwisho kwenye highway
 
Wewe ukiachilia huna akili za kutosha za kuzaliwa pia una elimu ndogo na ulikuwa ukifanya vibaya sana darasani.

Wawekezaji hawawekezi nchini kwa imani na Rais aliye madarakani wewe punguani.
Unasikitisha sana.
We mbususu jidanganye Sasa,nani alete pesa zake mumpore?

Kama mnabisha leteni mjamaa mwingine baada Samia uone kitakachofuta kuanzia kwenye banks Hadi mtaani..

Hakuna mtu mjinga tena,tumeshajifunza tena,unadhani Jiwe alipokuwa anasema anataka kubadili pesa Ili awakomoe walioficha pesa ilikuwa ni nini?

Utaishia kuwa punguani hivyo hivyo.
 
Hvi ww hujiskii aibu hebu nioneshe mauzo ya mobius 1 and 2 yakifika magari 10 nitag 😅😅

Yani unapanua mdomo kwa kitu cha aibu kabisa mobius is a failed project mbona wenzako wanaijua hio over 10yrs now 🤣🤣

Tulitegemea mutuambie within 10yrs time walau mumeuza magari 2000 hvi tuone muko serious lakini out of 10 vehicles in kenya 9 ni probox 😅😅


Una matatizo wewe. Ufanyie nini mauzo hayo ya mobius 1/2!? Haina haja ushinde ukibabaika kwa kila jambo. Mambo mengine hayana mjadala. Unajipa presha bure. Nikishakupa, hmn,.... Nyayo car mlishindwa sasa blah blah ndivo utanza Sasa.
 
Sasa wewe mjinga, hao wawekezaji ndio wameshawekeza kipindi cha Samia, kwa hiyo samia akiondoka na wao wana achana na investments zao na kurudi walipotokea, hata kama hizo investment hazijawalipa hela waliowekeza na profit?

Wewe ni mzima kweli? 🙄 🙄😳😳
Itategemea sera za huyo Rais mtakayemleta..

Akileta upuuzi wataondoka ndio au watakacha au kupunguza uzalishaji au kuuza kabisa..

Ndio maana Unaona Hawa wenye pesa ndefu wanahitaji specific Lawa Ili kulinda pesa zao
Screenshot_20230602-185459.jpg
 
Una matatizo wewe. Ufanyie nini mauzo hayo ya mobius 1/2!? Haina haja ushinde ukibabaika kwa kila jambo. Mambo mengine hayana mjadala. Unajipa presha bure. Nikishakupa, hmn,.... Nyayo car mlishindwa sasa blah blah ndivo utanza Sasa.
😅😅😅😅😅 nilikwambia hakuna project hapo nikusifia ujinga tu ifike hatua mukubaliane na ukweli dunia ishabadilika chizi wewe
 
Itategemea sera za huyo Rais mtakayemleta..

Akileta upuuzi wataondoka ndio au watakacha au kupunguza uzalishaji au kuuza kabisa..

Ndio maana Unaona Hawa wenye pesa ndefu wanahitaji specific Lawa Ili kulinda pesa zao View attachment 2675287
Kijana wangu unaniletea aibu sasa. Mim nimependekeza uteuliwe kuwa msaidizi wa Rais kwa masuala ya vijana, afu unaongea vitu kama hiv..
Hakuna mwekezaj timamu anawekeza sehem kwa business plan ya millions of dollars ya miaka 5 au 10 (kulingana na presidental terms zetu) kwa kuangalia rais aliepo.. mfano eti kisa rais flan ni mzur, ngoja tuwekeze huko, labda wapiga deals (hasa wanaoleta mikataba ya kijinga wapige deal hata kwa miaka ming baadae).
Unaniangusha kijana wangu.. afu nilikupaga ushauri, kwenye mambo serious uwe unasoma tu, usicomment mana utaniaibisha 😂
 
Back
Top Bottom