Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hata mimi sijasoma uchumi lakini vitu basics kama ivyo havitakiwi kukupinga chenga

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Wewe ndio umepigwa chenga na terminologies za uchumi, ukisema 'government expenditure' umeshahama maana na ukisema 'development expenditure' ni maana nyingine tofauti, wewe umekomalia government expenditure hujui inamaanisha nini.
 
80 over period of 10years mm sijaanza kuiskia mobius leo wala jana toka niko shule naiskia tu 😅😅😅😅😅😅 nilitegemea angalau uniambia 2000 cars sold nione kweli wamevuta kamba

Vitu vingine ni aibu hata kupost najua unajiskia vibaya 🤣🤣🤣🤣🤣
Kwani hujui kusoma!? Hadi nimeweka highlight, bado huoni. 10 Years mobius 1, 2 hadi 3, we are talking of Mobius 3, two years old, 80 units sold, 30 in the last 2 months!! Duh!! Tanzania elimu mbovu hivi!?
 
Wakunya watakwambia wao Wana Elimu Bora Afrika na Dunia yet kwenye Best University Ranking hakuna Chuo hata Kimoja Cha Kunyaland 🤣🤣🤣🤣

Top 10,Tanzania has 2 university,Uganda and Rwanda 1 for each other..
 
Kwani hujui kusoma!? Hadi nimeweka highlight, bado huoni. 10 Years mobius 1, 2 hadi 3, we are talking of Mobius 3, two years old, 80 units sold, 30 in the last 2 months!! Duh!! Tanzania elimu mbovu hivi!?
Hvi ww hujiskii aibu hebu nioneshe mauzo ya mobius 1 and 2 yakifika magari 10 nitag 😅😅

Yani unapanua mdomo kwa kitu cha aibu kabisa mobius is a failed project mbona wenzako wanaijua hio over 10yrs now 🤣🤣

Tulitegemea mutuambie within 10yrs time walau mumeuza magari 2000 hvi tuone muko serious lakini out of 10 vehicles in kenya 9 ni probox 😅😅

 
Wakunya watakwambia wao Wana Elimu Bora Afrika na Dunia yet kwenye Best University Ranking hakuna Chuo hata Kimoja Cha Kunyaland [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Top 10,Tanzania has 2 university,Uganda and Rwanda 1 for each other..
Wakenya njoeni hapa, tuna elimu bora kila siku tunawaambia haya someni taratibu na mkalilie kwa choo...
 
Tuongelee mambo mengine

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Bado nasisitiza uchumi wa Tanzania hautegemei miradi, mradi wa JNHP ni zaidi ya $3B sehemu kubwa ya hizi pesa zinaenda kuagiza mitambo nje ya nchi na kulipa constructors wa nje, excavators, bulldozers, loaders, trucks na mitambo mingi inachukua pesa nyingi sana kwenye miradi na yote hii inatoka nje ya nchi, diesel na petrol, lubricants na oils ni imported goods

Pesa inayobaki Tanzania ni mishahara, cement, nondo, mbao, food supplies na vitu vingine standard vinavyopatikana locally ambapo kwa miradi mingi mambo yote haya huwa ni 20% mpaka 30% ya gharama kuu ya mradi, ni watanzania wangapi wanaoajiriwa kwenye miradi na wenye viwanda vya hizo bidhaa watanufaika na huo mradi mpaka useme uchumi wa nchi nzima unategemea miradi? Labda hata 10k hawafiki directly and indirectly kwa mradi mmoja katika watanzania million zaidi ya 60
 
"Amekamatwa baada ya dunia kuja juu lakini kwa vile dunia imekuja juu wamemchukua wakamuhifadhi lakini laiti dunia ingekaa kimya hata usingeskua ulichoskia [emoji28][emoji28][emoji28]"

Mm hua nawaambia haki za binaadamu na mahakama ya ICC ipo kwa ajili ya africa na ipo kwa ajili ya kuficha uchafu wao vile vile mark my words ni ngumu kukubali lakini ndio ukweli mzee
Hakuna kitu kinaitwa haki ya mapenzi jinsia moja hakuna kitu kama hicho [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Yani hakuna haki ya mwanaume kupewa uume alaf ukaumbiwa mwanake awe starehe kwako ukasema hapana mm nifate laana ya kufukunyuliwa tope

Yani kitendo chenyewe hata ukimwambia mdudu hakuelew achilia binaadamu mwenye akili timamu

Kama shughuli ni kufykunyuliwa tope mwanamke aliletwe ili iweje au aliumbwa kwa kusudio gani mbona hatumuoni mbuzi akikosea tundu ikiwa hawana akili [emoji28][emoji28][emoji28]
"Amekamatwa baada ya dunia kuja juu lakini kwa vile dunia imekuja juu wamemchukua wakamuhifadhi lakini laiti dunia ingekaa kimya hata usingeskua ulichoskia [emoji28][emoji28][emoji28]"

Mbona Kule Iran hata baada ya Dunia kuja juu na kupiga kelele lakini wale polisi waliohusika na kifo Cha yule bint aliyesababisha maandamano hajakamatwa?. Mbona waliohusika na mauaji huko Kenya 2008, polisi wanaonekana kwenye video hadharani wakipiga watu risasi hawajakamatwa?.

Kukamata polisi aliyehusika na tukio na kumpeleka mahakamani ni sehemu ya demokrasia, Akwilina na waisilamu wa mwembechai waliuliwa na hakuna polisi hata mmoja aliyeshikwa.

Huko katika nchi za Uarabuni ndio kabisa "very uncivilized people", wanatuma kundi la mauaji kwenda kuua raia wao wenyewe wanaotofautiana kimawazo ambao wametoroka na kwenda kuishi Turkey.

"Hakuna kitu kinaitwa haki ya mapenzi jinsia moja hakuna kitu kama hicho [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]"

Jambo la kushangaza, watu wenye kupinga hilo wengi wametokea kwenye nchi "Primitive" Kama Africa &Arabs countries. Hao waarabu na waafrica ndio hao ambao wanajazana kwenye hizo nchi zenye kukubaliana na haki ya jinsia Moja, kwanini msibaki katika nchi zenu badala yake mnaenda kuishi ktk nchi za watu na mnaleta fujo?. 90% ya hao wanaofanya fujo huko Ufarasa ni watu kutoka nchi za kiarabu, hovyo sana.


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kenya GDP itabidi uunganishe Danganyika na Uganda

0.00000001% ya GDP ya kenya imetoka kwa wachuuzi wa kitanzania wanaozungusha kahawa, mandazi na cripsi huku mitaani Kenya, karibuni sana wanamagufala
View attachment 2674939View attachment 2674940
Tangu nimekuwa na ufahamu wangu sijawahi kuona GDP ya Tz ikifika $60b kila siku 57, yani nchi zingine namba zinabadilika lkn kwa Tz tulibaki pale pale kwenye 57, miaka nenda rudi GDP haikuwi ila nchi inasonga na mambo kibao yanafanyika tofauti na nyie ambao daily GDP yenu mna rebase ili muonekane mna uchumi mkubwa ambao hauwasaidii, nasisitiza kusema kwa mambo inayofanya Tz hivi sasa uchumi wake wa kweli kabisa ni $150b, hii itawekwa tu mtake msitake na sgr plus jnhpp ikianza kufanya kazi tutafika 200 soon.
 
Wakunya watakwambia wao Wana Elimu Bora Afrika na Dunia yet kwenye Best University Ranking hakuna Chuo hata Kimoja Cha Kunyaland [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Top 10,Tanzania has 2 university,Uganda and Rwanda 1 for each other..
Hata Rwanda imewazidi, sifa mingi lakini hamna kitu.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Bado nasisitiza uchumi wa Tanzania hautegemei miradi, mradi wa JNHP ni zaidi ya $3B sehemu kubwa ya hizi pesa zinaenda kuagiza mitambo nje ya nchi na kulipa constructors wa nje, excavators, bulldozers, loaders, trucks na mitambo mingi inachukua pesa nyingi sana kwenye miradi na yote hii inatoka nje ya nchi, diesel na petrol, lubricants na oils ni imported goods

Pesa inayobaki Tanzania ni mishahara, cement, nondo, mbao, food supplies na vitu vingine standard vinavyopatikana locally ambapo kwa miradi mingi mambo yote haya huwa ni 20% mpaka 30% ya gharama kuu ya mradi, ni watanzania wangapi wanaoajiriwa kwenye miradi na wenye viwanda vya hizo bidhaa watanufaika na huo mradi mpaka useme uchumi wa nchi nzima unategemea miradi? Labda hata 10k hawafiki directly and indirectly kwa mradi mmoja katika watanzania million zaidi ya 60
Miradi ya BRT itabakisha pesa nyingi Tanzania sababu expenses kubwa za mradi ni kwenye cement, nondo, wiremesh, aggregates, bati, vioo though laiti lami ingekua sourced locally tungepata walau 70% as local content, lami (asphalt) nyingi inayotumika Tanzania inatoka Swiss, UAE na Russia
 
Tangu nimekuwa na ufahamu wangu sijawahi kuona GDP ya Tz ikifika $60b kila siku 57, yani nchi zingine namba zinabadilika lkn kwa Tz tulibaki pale pale kwenye 57, miaka nenda rudi GDP haikuwi ila nchi inasonga na mambo kibao yanafanyika tofauti na nyie ambao daily GDP yenu mna rebase ili muonekane mna uchumi mkubwa ambao hauwasaidii, nasisitiza kusema kwa mambo inayofanya Tz hivi sasa uchumi wake wa kweli kabisa ni $150b, hii itawekwa tu mtake msitake na sgr plus jnhpp ikianza kufanya kazi tutafika 200 soon.
Wachumi wetu walikuwa wanafanya kazi kwa maelekezo ya kisiasa kwamba uchumi ukikua tuta graduate from LDC mapema na hivyo kupelekea kupoteza masoko ya upendeleo kama ku export everything but arms to Europe na AGOA.

Sasa Magu kaja katibua kile kiutaratibu chao cha kuwa LMIC by 2025 na tukaona TZ ime graduate 5 years eatly to LMIC.
 
Bado nasisitiza uchumi wa Tanzania hautegemei miradi, mradi wa JNHP ni zaidi ya $3B sehemu kubwa ya hizi pesa zinaenda kuagiza mitambo nje ya nchi na kulipa constructors wa nje, excavators, bulldozers, loaders, trucks na mitambo mingi inachukua pesa nyingi sana kwenye miradi na yote hii inatoka nje ya nchi, diesel na petrol, lubricants na oils ni imported goods

Pesa inayobaki Tanzania ni mishahara, cement, nondo, mbao, food supplies na vitu vingine standard vinavyopatikana locally ambapo kwa miradi mingi mambo yote haya huwa ni 20% mpaka 30% ya gharama kuu ya mradi, ni watanzania wangapi wanaoajiriwa kwenye miradi na wenye viwanda vya hizo bidhaa watanufaika na huo mradi mpaka useme uchumi wa nchi nzima unategemea miradi? Labda hata 10k hawafiki directly and indirectly kwa mradi mmoja katika watanzania million zaidi ya 60
Kuna ishu gani kubwa ya maana ambayo inaagizwa Nje ya Nchi kwenye mradi wa Bwawa la Umeme zaidi ya transfoma kubwa kubwa? Nyaya na vyuma vingine vyote vinatoka Tanzania..

Mradi kama huo wa bwawa inaweza kuwa 70% ndani ya Nchi na 30% tuu Nje ya Nchi maana kazi kubwa ilikuwa ni civil Works ambazo Asilimia kubwa zinapatikana ndani ya Nchi.

Uchumi wa Tanzania ni public investment driven,hatuna Private Sector kubwa hapa Tanzania
 
Kuna ishu gani kubwa ya maana ambayo inaagizwa Nje ya Nchi kwenye mradi wa Bwawa la Umeme zaidi ya transfoma kubwa kubwa? Nyaya na vyuma vingine vyote vinatoka Tanzania..

Mradi kama huo wa bwawa inaweza kuwa 70% ndani ya Nchi na 30% tuu Nje ya Nchi maana kazi kubwa ilikuwa ni civil Works ambazo Asilimia kubwa zinapatikana ndani ya Nchi.

Uchumi wa Tanzania ni public investment driven,hatuna Private Sector kubwa hapa Tanzania
Tazara tu imeshatumia zaidi ya bilioni 6 kununua vifaa vya kupakia na kushusha mitambo ya JNHP, jiulize ni mitambo kiasi gani, juzi kati tazara imenunua well-wagons kutoka China, ndio wagon yenye uwezo wa kubeba uzito mkubwa kuliko wagons zote za reli Africa

Mitambo iliotumika JNHP ni mingi kiasi cha kuinua hata numbers za mzigo uliohudimiwa na Dar port kwa zaidi ya 4%


 
Back
Top Bottom