joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Naiona Ardhi University na Muhimbili...hawa si walikuwa college wa UDSM? UDSM imekuaje tenaWakunya watakwambia wao Wana Elimu Bora Afrika na Dunia yet kwenye Best University Ranking hakuna Chuo hata Kimoja Cha Kunyaland [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Top 10,Tanzania has 2 university,Uganda and Rwanda 1 for each other..
SSA University Rankings
Explore the top ranked universities in Sub-Saharan Africa Discover the top universities in Sub-Saharan Africa with the Times Higher Education Sub-Saharan Africa University Rankings 2024.www.timeshighereducation.com
Walimu wengi wamepelekwa kwenye vyuo Vikuu vipya hasa UdomNaiona Ardhi University na Muhimbili...hawa si walikuwa college wa UDSM? UDSM imekuaje tena
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
wasisahau kipande cha Gongo la Mboto-Pugu pia!
Usijizungushe saaaana ,unaweza niambia Kwa nini miradi Mingi ikiwemo huu wa gas uli stall awamu ya 5?Kijana wangu unaniletea aibu sasa. Mim nimependekeza uteuliwe kuwa msaidizi wa Rais kwa masuala ya vijana, afu unaongea vitu kama hiv..
Hakuna mwekezaj timamu anawekeza sehem kwa business plan ya millions of dollars ya miaka 5 au 10 (kulingana na presidental terms zetu) kwa kuangalia rais aliepo.. mfano eti kisa rais flan ni mzur, ngoja tuwekeze huko, labda wapiga deals (hasa wanaoleta mikataba ya kijinga wapige deal hata kwa miaka ming baadae).
Unaniangusha kijana wangu.. afu nilikupaga ushauri, kwenye mambo serious uwe unasoma tu, usicomment mana utaniaibisha 😂