Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Modern city, modern infrastructures, civilized people
Now, I can understand why Kenyans are jealous
DarBTR.jpg
images%20(4).jpg
images%20(5).jpg
images%20(6).jpg
images%20(7).jpg
images%20(8).jpg
IMG_20230629_132841.jpg
 
Hili jengo la nani!? Nani mmiliki!? Hivi tangu 2014 hadi leo!? Ni nzuri ila fupi sana. Sa hii kitu cha kuposti ni 30+ floor towers ama huge houses! 20 and below vimepitwa na wakati
Ukisikia pwa ujue limempata mtu😆
 
Hatimaye pumba zimeanza kujitenga na mchele, hakika mafuta hayachanganyiki na maji, Tundu lissu na Rostam Aziz wamethibitisha kwamba Magufuli alikuwa mzalendo wa kweli, Rostam anakuambia kama yeye angekuwa fisadi basi Magufuli asingekwenda kuzindua kiwanda chake kule Morogoro. Tundu lissu naye anakuambia Magufuli hahusiki na mikataba ya hovyo kwani tunajua fika hakupenda mali za nchi hii kushikwa na wageni.

Hao ni watu ambao walikuwa miongoni mwa maadui wa Magufuli lkn kwenye ukweli leo wameongea, sasa hawa wanuka mavi wa humu jamiiforums ni kina nani mpaka wabishe, msikilizeni Lissu hapa.

Wanuka mavi wa jamiiforums, kula chuma iyoooo


Ndo napitiapitia comments baada ya kupata upenyo wa kupumzika na majukumu. Kazi Iendelee mkuu
 
Gormahia yapata Ksh 9M, hadi Sasa baada ya michango toka kwa ndugu, jamaa na marafiki baada ya kutwaa ubingwa wa Kenya


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

It is the deep rooted tribal nature of this regime.....They spent ksh 138 billion for the rally but when it comes to Gor ...we are told money is not there.
 
Hii kibera nayo mnapenda sana......i like how you run to google any negative thing about kenya and lump it here to make yourselves feel good.....How this will help millions of tanzanians in abject poverty is beyond me
 
Kibera ndio sehemu tanzanians hujiconsole nayo because 98% of dar looks like kibera
 

Attachments

  • kibera-nairobi-type.gif
    kibera-nairobi-type.gif
    274.2 KB · Views: 9
Back
Top Bottom