Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Konza 10 Years ago, Dodoma 🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 2672423
A 50yrs wait inamaana ujenzi haukua unaendelea kabisa na pia konza ni tofaut na kuhamisha serekali ni vitu viwili tofaut kabisa yani usitafute huruma kwa kigezo cha dodoma 😅😅😅😅 project ambazo ziko dodoma ni sawa na kenya nzima + uganda

Kwan kenya munahamisha serekali konza au tatu??
 
Kunakaa ushago kabisa!!
No uniformity!!!
A very ugly city.
Plus hujaprove izo barabara za nyuma ya ppsp ni lami!!! Barabara. Za mlango wa nyuma.
Tafuta service road kama hio nairobi alaf nitag chizi wewe 😅😅😅😅😅😅 alaf unajifanya unaijua tanzania unafkiri kuja tanzania ni kama kwapa tu unainua
 
Alaf wanakuja kujisifu hapa kwa umaskini huu 😅😅😅😅 nchi ambayo ilijitenga na africa baada ya uhuru kwa ubinafsi na roho mbaya ikajikita kwenye biashara tulitegemea muwe level za singapore lakini wapi hata zimbabwe ina nafuu mara 100
 
Umefanya vizuri kupost hii video. Makini kuona Dar ilivyo. Kwa majengo yote napenda hili pspf. Lina uzuri wake.
View attachment 2672216
1. Lakini kama nilivyo sema hapo awali, ni kama Dar hamna biashara. Haya majumba yote mazuri, ni ya serikali. Private sector Tanzania ilifia wapi!?
2. Mazuri sana majumba hayo yote 15, ila yamezingirwa na mazingira duni mno. Mfano, hilo jumba pspf, nyuma yake tu, barabara ni ya vumbi, kisha vijiji, nyumba za vijijini kabisa zinafwata na wala hamna lami. Ndo maana tukasema, Dar bado ni fishing village. Tazameni hapa!!
View attachment 2672221
3. Tuje sasa kwenye CBD. CENTER KABISA. YAANI KATIKATI MWA JIJI.
View attachment 2672225View attachment 2672227
lol
 
Alaf ikitokea africa utaskia haki za binaadamu ila kwao akaah media zote ziko kimya na watu wanachapika kama kawaida
 
Gari nyingi zilizo road kule Kenya ni mbovu na za zamani sanaa View attachment 2672488
Asante kwa Tbt, governor sakaja alishaziondoa barabarani.👇🏾
download.jpeg
 
Back
Top Bottom