Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umefanya vizuri kupost hii video. Makini kuona Dar ilivyo. Kwa majengo yote napenda hili pspf. Lina uzuri wake.
View attachment 2672216
1. Lakini kama nilivyo sema hapo awali, ni kama Dar hamna biashara. Haya majumba yote mazuri, ni ya serikali. Private sector Tanzania ilifia wapi!?
2. Mazuri sana majumba hayo yote 15, ila yamezingirwa na mazingira duni mno. Mfano, hilo jumba pspf, nyuma yake tu, barabara ni ya vumbi, kisha vijiji, nyumba za vijijini kabisa zinafwata na wala hamna lami. Ndo maana tukasema, Dar bado ni fishing village. Tazameni hapa!!
View attachment 2672221
3. Tuje sasa kwenye CBD. CENTER KABISA. YAANI KATIKATI MWA JIJI.
View attachment 2672225View attachment 2672227
Unavyosema umekuja DAR, umefika DAR wapi.? Ni mwaka gani.? Anyways in case you don't know, jengo la pppf tower lipo Sinza .. hii sinza as of now barabara nyingi zina lami and most of those buildings, ni offices, restaurants, lodges n.k .. ona picha hii vizur zaidi 👇
20230104_215142.jpg
20230104_215151.jpg
20230104_215146.jpg
apartments nyingi zinajengwa hapo kwasasa.. Kwakifupi eneo linabalika lenyewe kutoka kuwa mitaa ya makazi ya watu hadi kuwa ni kituvu cha biashara.. hizi baadhi ya picha nimepiga mwenyewe 👇
IMG_20230620_110524_969.jpg
IMG_20230620_110334_601.jpg
.. kila siku tunawaambieni DAR sio Nairobi .. ukuaji wa Dar kibiashara ni habari nyingine kabisa. Sisi hatusubir mzungu aje ajenge apartments
 
Unavyosema umekuja DAR, umefika DAR wapi.? Ni mwaka gani.? Anyways in case you don't know, jengo la pppf tower lipo Sinza .. hii sinza as of now barabara nyingi zina lami and most of those buildings, ni offices, restaurants, lodges n.k .. ona picha hii vizur zaidi 👇View attachment 2672234View attachment 2672235View attachment 2672236apartments nyingi zinajengwa hapo kwasasa.. Kwakifupi eneo linabalika lenyewe kutoka kuwa mitaa ya makazi ya watu hadi kuwa ni kituvu cha biashara.. hizi baadhi ya picha nimepiga mwenyewe 👇View attachment 2672244View attachment 2672246.. kila siku tunawaambieni DAR sio Nairobi .. ukuaji wa Dar kibiashara ni habari nyingine kabisa. Sisi hatusubir mzungu aje ajenge apartments
Mbeya inaenda kujengwa road Kali ka ma hiyo ya Sam Nujoma
 
Waandishi wa habari na watu maarufu wa kibongo wengi ni vilaza tu .. msikilize huyu mpuuzi anakwambia tofauti ya kidato cha nne na form six ni kiingereza tu 🤣🤣🤣 kumamaee 👇. Sijajua hii inatokana na kutosoma au ni nini.? Na kwanini kama mtu hujasoma utake kuzungumzia vitu vya kisomi.?

Dah aisee! Journalism ndio fani pekee bongo hata failure wa division zero anaweza kusomea, huu ni upumbavu mtupu watu zero brain kupewa mic waongee mashudu kwa niaba ya taifa 🤣🤣🤣 ndio vilaza kama babalevo mashakahola yawahype
 
Dah aisee! Journalism ndio fani pekee bongo hata failure wa division zero anaweza kusomea, huu ni upumbavu mtupu watu zero brain kupewa mic waongee mashudu kwa niaba ya taifa 🤣🤣🤣 ndio vilaza kama babalevo mashakahola yawahype
Yani bongo tabia ya kuwapa umaarufu hawa wapumbavu sijui nani alieanzisha 🤣🤣 ajabu hawa wapumbavu wakishapata umaarufu wananza kujitia umuhimu eti na wenyewe wanazungumzia mijadala ya kisomi ya kitaifa ..
 
Umefanya vizuri kupost hii video. Makini kuona Dar ilivyo. Kwa majengo yote napenda hili pspf. Lina uzuri wake.
View attachment 2672216
1. Lakini kama nilivyo sema hapo awali, ni kama Dar hamna biashara. Haya majumba yote mazuri, ni ya serikali. Private sector Tanzania ilifia wapi!?
2. Mazuri sana majumba hayo yote 15, ila yamezingirwa na mazingira duni mno. Mfano, hilo jumba pspf, nyuma yake tu, barabara ni ya vumbi, kisha vijiji, nyumba za vijijini kabisa zinafwata na wala hamna lami. Ndo maana tukasema, Dar bado ni fishing village. Tazameni hapa!!
View attachment 2672221
3. Tuje sasa kwenye CBD. CENTER KABISA. YAANI KATIKATI MWA JIJI.
View attachment 2672225View attachment 2672227
Nitakujibu kwa video za huyu Kijana Bertin...(Kijana nitampa maua yake anajitahidi kuonesha uhalisia wa mitaa ya Dar)

Hii video ni ya mwaka huu ikionyesha barabara zilizokaribu na Hilo jengo la PSSPF....ok unaonaje quality ya barabara


 
Sasa hapa unataka kusema nini!? Yaani huja enda shule, mwenye ameandika stori, ameandika 2020, ila hajasema imeanza lini. Kitu hii imeanza 2014. Maanake, mimi nimekuja Dar 2016, tayari mradi ulikuwa umeanza.
So, unabisha sio 30+ au? Mwaka unahusiana na nini kwenye jengo lililokamilika? Hata kama lilianza 1980 lkn si limekamilika?
 
Nitakujibu kwa video za huyu Kijana Bertin...(Kijana nitampa maua yake anajitahidi kuonesha uhalisia wa mitaa ya Dar)

Hii video ni ya mwaka huu ikionyesha barabara zilizokaribu na Hilo jengo la PSSPF....ok unaonaje quality ya barabara


Huyu bwana bertin hua anavideo nzuri za Dar

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom