ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Anaumia sana kuona tajiri kitoka huku kaja kuwaletea maendeleo😅😅😅😅Kauliza swali la kiwaki sana,au jamaa bado anapika na kuni?
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Anaumia sana kuona tajiri kitoka huku kaja kuwaletea maendeleo😅😅😅😅Kauliza swali la kiwaki sana,au jamaa bado anapika na kuni?
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Toka wamepata uhuru hawajaw kukutana na investment kubwa kama hio 😅😅😅That is very huge project, $200M of investment involving construction, do you expect it to be operational within one year?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Nairobi ni finyu na undevelopedDar is. A one sided city just like Mombasa.
Nairobi is a two sided just like Addis Ababa (360°)
Hope kichwa chako kitaelewa such.
Na sio kenya ni africa nzima jamaa anafanya balaa 😅😅😅😅😅Taifa gas Kenya imefikia wapi🤣🤣
696km sq ndani yake kuna nairobi national park karibu nusu ya eneo hilo bado hujatoa misitu humo kila kona 😅😅😅😅😅Nairobi ni finyu na undeveloped
Coco reborn Arusha airport umeona vile nchi hii inajengwa 😅😅😅😅 hata kama unaumia sio lazma uoneshe hasira
Wakenya wakiona mtanzania amefungua biashara Kenya wanapata mchecheto kwa kudhani watapitwa yani mawazo yao yapo kwenye GDP tu na sio maisha, taifa gas imeenda kuwakomboa lkn kwa sababu ni kampuni ya Tz wanataka kuona ikifa, yani wapo radhi wafe njaa lkn kampuni ya kitanzania isiwepo kwao.Kauliza swali la kiwaki sana,au jamaa bado anapika na kuni?
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Hizo zote ni ajira aisee!Financial inclusion,hii ni matokeo ya umeme Kila Kijiji na Barabara Vijijini
Usipoteze muda na mtu ambae hata hajui jiko la gesi likoje. Achana nae!Kwani wewe unaposema taifa gas Kenya imefikia wapi unamaanisha kwamba haipo au unamaanisha nini mana nakuona ona unaizungumzia kikawaida kampuni iliyokuja kuwakomboa na hali ngumu.
Halafu watakuletea upumbavu wao wa Metropolitan blah blah blah kujifariji kuepuka ufinyu wa Nairobi 😂696km sq ndani yake kuna nairobi national park karibu nusu ya eneo hilo bado hujatoa misitu humo kila kona 😅😅😅😅😅


So you googled an old photo but ignored the construction ones… typical Bongolala!Coco reborn nasubiria kuona ujenzi wa isiolo mandera wa 850km naomba unioneshe ujenzi plz 😅😅😅😅😅😅 na usurudie kupost zile picha muliopost juzi
Labda sio isiolo hiii👇👇👇👇
View attachment 2671733