ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,425
- 85,268
Just a public school under construction
Hilo jengo ni 35 floors jombii na Hilo jengo pachaake hapo jirani ni 33 floorsHili jengo la nani!? Nani mmiliki!? Hivi tangu 2014 hadi leo!? Ni nzuri ila fupi sana. Sa hii kitu cha kuposti ni 30+ floor towers ama huge houses! 20 and below vimepitwa na wakati
Wacha kuchanganyikiwa huu uwanja hauna qualifications za ku host mechi za CAF ndio uwe international.? 🤣🤣Somehow, this Stadium remains the only International Stadium in East Africa even After Tanzania spent millions on Mkapa.
View attachment 2672074
Hiki kimeli ndio kilikua mnajiribu kulinganisha na MV Mwanza.? 👇Sleek and beautiful, Kenya's dress water ship 98% done.
View attachment 2672087View attachment 2672088
Muingereza ashukuriwe lasivyo mngekua mnasuluhisha kesi chini ya miti mpaka leoSuprême Court in Nairobi
View attachment 2672071
Haka kadubwana ni joke kulinganisha na what we are building in DODOMASuprême Court in Nairobi
View attachment 2672071
We jamaa una ushamba sana....Somehow, this Stadium remains the only International Stadium in East Africa even After Tanzania spent millions on Mkapa.
View attachment 2672074
Angalia hii video...utajiona wew na Nairobi yako bado sana kwa dar kwenye majengo....Hili jengo la nani!? Nani mmiliki!? Hivi tangu 2014 hadi leo!? Ni nzuri ila fupi sana. Sa hii kitu cha kuposti ni 30+ floor towers ama huge houses! 20 and below vimepitwa na wakati
Haka👆 labda kakae kwenye sentence moja na mahakama kuu kigoma labda 👇Suprême Court in Nairobi
View attachment 2672071
Ni jambo la ajabu wakidai eti wanatuzidi kwa miaka 30 🤣 🤣 ukiangalia vitu kwa ground vinasema vise versaTanzania inter-regional buses
View attachment 2672141View attachment 2672142View attachment 2672143View attachment 2672144
Shakahola inter caunty buses 😂😂😂
View attachment 2672151View attachment 2672152
Kichaa mmoja kashuka JKIA usiku kapita kwenye expressway ya mchina kwenda Lavington kesho asubuhi anakuambia blah blah blah miaka 30 😂😂😂 akatize tu nyuma ya hiyo Lavington ajionee au apite mchanaNi jambo la ajabu wakidai eti wanatuzidi kwa miaka 30 🤣 🤣 ukiangalia vitu kwa ground vinasema vise versa
Waandishi wa habari na watu maarufu wa kibongo wengi ni vilaza tu .. msikilize huyu mpuuzi anakwambia tofauti ya kidato cha nne na form six ni kiingereza tu 🤣🤣🤣 kumamaee 👇. Sijajua hii inatokana na kutosoma au ni nini.? Na kwanini kama mtu hujasoma utake kuzungumzia vitu vya kisomi.?Kichaa mmoja kashuka JKIA usiku kapita kwenye expressway ya mchina kwenda Lavington kesho asubuhi anakuambia blah blah blah miaka 30 😂😂😂 akatize tu nyuma ya hiyo Lavington ajionee au apite mchana
Angalia hii video...utajiona wew na Nairobi yako bado sana kwa dar kwenye majengo....
Una tatizo la kujikweza na ukosefu wa exposure....ndo maana tunakuignore...
Jeshi la mapicha lakini zero performance on the field