Hii supreme court Nairobi tulinganishe na supreme court Dodoma wadau.Suprême Court in Nairobi
View attachment 2672071
Hii supreme court Nairobi tulinganishe na supreme court Dodoma wadau.Suprême Court in Nairobi
View attachment 2672071
Halafu watakuambia sisi tuko nyuma miaka 50 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kituko,ungeona Mahakama Kuu Dodoma usinge post huu uchafu
Ulaya Wakenya wamejaa kwenye madanguro!Wivu umemshika
Wapi Mbeya? Hata Mwanza imepitwa!
Ndio wauza nyuchi kwa bei rahisi ulaya na asiaUlaya Wakenya wamejaa kwenye madanguro!
Konza 10 Years ago, Dodoma 🤣🤣🤣🤣🤣Waambie wakuoneshe konza au tatu zinajengwa toka kibaki 😅😅😅 na hazijawah fikisha hata 1% of its render
Hapo huwezi waona wakikomenti proud kenya sijui bra bra[emoji23][emoji23][emoji23]....sijui much love from kenya...wako kimya..
Imagine Gari ya kubeba nyama hii! Si hiyo nyama inakuwa mzoga inapoingizwa kwenye huu mkweche?Gari nyingi zilizo road kule Kenya ni mbovu na za zamani sanaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2672488
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Imagine Gari ya kubeba nyama hii! Si hiyo nyama inakuwa mzoga inapoingizwa kwenye huu mkweche?
Gari nyingi zilizo road kule Kenya ni mbovu na za zamani sanaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2672488
Wakenya wako hovyo sn, imagine hiyo gari inapiga route ndani ya Nairobi watatuambia nn tuwaelewe, mm binafsi tangu kuzaliwa sijawahi kuiona gari kama hiyo posta piga ua, hata mtaani tu sikumbuki, hawa jamaa ni mafukara mno hatupaswi kushindana nao[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Atakuja na blah blah za namba ya gari. [emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi vibanda upande wa kushoto vinatia kinyaa!Umefanya vizuri kupost hii video. Makini kuona Dar ilivyo. Kwa majengo yote napenda hili pspf. Lina uzuri wake.
View attachment 2672216
1. Lakini kama nilivyo sema hapo awali, ni kama Dar hamna biashara. Haya majumba yote mazuri, ni ya serikali. Private sector Tanzania ilifia wapi!?
2. Mazuri sana majumba hayo yote 15, ila yamezingirwa na mazingira duni mno. Mfano, hilo jumba pspf, nyuma yake tu, barabara ni ya vumbi, kisha vijiji, nyumba za vijijini kabisa zinafwata na wala hamna lami. Ndo maana tukasema, Dar bado ni fishing village. Tazameni hapa!!
View attachment 2672221
3. Tuje sasa kwenye CBD. CENTER KABISA. YAANI KATIKATI MWA JIJI.
View attachment 2672225View attachment 2672227
Nitakujibu kwa video za huyu Kijana Bertin...(Kijana nitampa maua yake anajitahidi kuonesha uhalisia wa mitaa ya Dar)
Hii video ni ya mwaka huu ikionyesha barabara zilizokaribu na Hilo jengo la PSSPF....ok unaonaje quality ya barabara
Waandishi wa habari na watu maarufu wa kibongo wengi ni vilaza tu .. msikilize huyu mpuuzi anakwambia tofauti ya kidato cha nne na form six ni kiingereza tu 🤣🤣🤣 kumamaee 👇. Sijajua hii inatokana na kutosoma au ni nini.? Na kwanini kama mtu hujasoma utake kuzungumzia vitu vya kisomi.?
That's not a ship but a cargo ferry!Sleek and beautiful, Kenya's dress water ship 98% done.
View attachment 2672087View attachment 2672088
Hebu ondoeni hivi vipanya ndani ya jiji lenu ndo ukomenti kiwivu juu ya Tanzania...Kunakaa ushago kabisa!!
No uniformity!!!
A very ugly city.
Plus hujaprove izo barabara za nyuma ya ppsp ni lami!!! Barabara. Za mlango wa nyuma.
Hapa kunakaa ushoga angalia jengo lina pride colors!Kunakaa ushago kabisa!!
No uniformity!!!
A very ugly city.
Plus hujaprove izo barabara za nyuma ya ppsp ni lami!!! Barabara. Za mlango wa nyuma.