The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Aisee hii picha inaleta uhalisia wa usafi wa mazingira Tanzania, I'm 100% sure hii picha ni ya kitambo sana kwa kuangalia hizo gari (vipanya) mana siku hizi ni kama hazipo, kweli Tz usafi jadi yetu. Ukijaribu kunitumia picha yenye road safi kama hii bila make up huko Nairobi naondoka jamiiforums.Hizi vitu za 1998 huwa mnatoa wapi!!!View attachment 2669507
