BlietzKrieg
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 3,034
- 2,523
Hope hujafungua hio video...
Tukuulize wew binafsi kati ya kujenga nyumba yako binafsi iwe na space na nje kidogo na mji...na ukitaka kwenda mjini unachukua BRT bus just im 20m uko at your daily work...
Na kupanga kwenye apartment yenye vyumba viwili na madirisha mawili ya kuview..bado bills nk utachagua maisha yap...
Hizo cities unazosifia watu kuishi kwenye apartments watu wengi hawapendi basi tu ni utafutaji...ndo maana wakizipata ukimbilia kujenga nyumba zao uko pembeni ya miji...
I have been there kileleshwa, kilimani, south C, Eastleigh after 10 years zitakuwa kama pipeline am sure...kwanza lords wengi wa kenya hawapendi kufanya maintance...
Tatizo la hayo maeneo ni barabara aisee...barabara nyingi za mitaa I Kileleshwa, kilimani, south c had westlanda zimejengwa ovyo hazina mitaro, zina rangi nyekundu na mashimo...
Atleast every square has a tarmac.
Pangeni miji yenu na muwe na lami after 2 plots.
Huko kwenu Hadi masaki ni mainroad pekee.
Feeder roads ni vumbi tu.
Eastleigh ndio mabarabara ni mbovu but zitarekebishwa construction ikipungua.






