Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

A new pipeline in the making...

Tanzanian don't entertain living in the high rise ghettos and communities.....Every Tanzanian needs space and constructs his own house...ndo maana miji mingi ya Tanzania inapanuka sana...

This doesn't mean Tanzania has no high rise apartments though...but wekeza with precautions

Hapa ni Mbweni 35km from CBD

Hii mbweni nayo sio mchezo vitu ni vizito sana hivi

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Better than this
Screenshot_20230622-203942.jpg
Screenshot_20230622-203920.jpg
 
Ndege yetu ya mizigo inaanza kazi rasmi kesho, so sijui nyie madalali mtatoa wapi mzigo mtajua wenyewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahaha kwani hakuna international cargo plains zinaland iyo kauwanja kenu kila siku?
 
According to a study commissioned by the Tourism Institute, the Safari Rally contributed KSh63 billion ($456.5 million) in Total Tourism Internal Demand to the economy in the 2021-22 period. In addition, the last two editions of the WRC Safari were the most watched on social media in WRC history
 
Arusha ikipata tu MKICC(Mount Kilimanjaro Conference and Convention Centre , inaipindua Kigalu

Maana ukiweka na New Stadium , Ukagonga na BRT ya 30km maeneo muhimu ..

Maana Arusha City , Bila Kuweka Ngorongoro inaweza kuwa na 5star hotels kuliko , Kisumu na Nakuru

Panatakiwa a dual Cariage way Arusha - Moshi.. njia hii iko busy sana .
Panatakiwa pia Light rail commuters kati ya Moshi na Arusha Via Kilimanjaro International Airport.
 
Kigamboni inakuwa Underlooked Sana , but ni city side inayoweza kuipa Skyline ya Dar View Mpya kabisa , inabidi iwe na eneo la super talls , lakini naona Most private sector Hazina mpango wa kushusha towers huko,

Labda Govt iwa attract kwa kuanza kuweka kitu kama Hyo Convention centre unayosema, pia hyo super highway naona kama waliipiga chini, Hata TPA wangeweza kujenga Magati upande wa Kigamboni
Bado upo ila wameanza na kwenye uhitaji zaidi kwa sasa na nafikiri pia mradi wa SGR bandari kavu pamoja na Ubungo kibaha superhighway umeathiri kipande hiki cha mji kuanzia Kigamboni Mbagala Pugu mpk Kibamba ni swala la muda tu. Mchoro huu hapa
IMG_20230531_150143_756.jpg
 
Back
Top Bottom