Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

What does Kenyan police do? People are getting butchered on daily basis.

Hili jambo linasikitisha Sana kwakweli, hivi inawezekanaje watu wenye silaha wanavuka mpaka kirahisi na kuchinja watu zaidi ya miaka 10 Sasa na serikali ipo?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
BRT si kama kula githeri Shakaholas!Msije kulialia baadae maana mlishaanza,sisi tunasonga pata joto tu la phase ya kwanza na ya pili tu bado phase nyingine U/C
05bcb7da586b98eaf42392db5cf94f0d.jpg

c5bb034ede2371ffd02e87732d6cd6cb.jpg

aca0e6196356a48c16ad768fe5833ab8.jpg

ba90bb2a29c7416b105cdedc18ed7712.jpg

cc8b84462f4c5fa2d47c8f08a221ddfd.jpg

a7c69163ab8882fce8c3b290c71435ec.jpg

2c8989b6911c46b6a1fbc236a76bc61e.jpg

Kuna kitu kinaitwa Transit Oriented Development (TOD) uendelezwaji wa corridor zote za BRT, project ya kwanza hii hapa soon kuanza,Gerezani Kariakoo
df5a7c766a450349b55d3dee28086156.jpg

Kwa info zaidi tazama video hii. kutoka DART

Tanzania hatuna masihara kbs! Battle mtaikimbia hii kama wengine waliokwisha kimbia 😃.
 
Nimeona wanaugusia gusia sema hawajauwekea Budget ya maana , wameongela kwenye Budget ya Wizara ya Mambo ya Nje , pia wanataka ku expand JNICC kwa kujenga Auditorium Mpya
Hivi kwa nini hawafikirii exhibition center!? Conferencing inaenda sambamba na exhibition! Na Tanzania kuna potential kubwa sana kwenye hii sekta! Na uhaba wa facilities ni wazi kabisa!

Kwa nini huku hawajafikiria??
 
Real estate kenya ni big business. Hata sasa hivi wakati economy haiperfom poa hivo, unapata ndo kuna construction boom everywhere
Thats gambling my friend no new money kwenye productive sectors za uchuni maana hali ya uchumi haieleweki people are sacred to invest kwenye production the only safe place to safeguard your money is in real estate thats what is happening in Kenya right now but the effect is going to be catastrophic boom and bust economic cycle kwenye real estate ndio mnatengeneza rightnow kilio kitakuja kuwa kikubwa huko mbeleni.
 
Back
Top Bottom