ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Wana GDP kubwa 😅😅😅😅Ni aibu...View attachment 2668636
Wana GDP kubwa 😅😅😅😅Ni aibu...View attachment 2668636
Hili jambo linasikitisha Sana kwakweli, hivi inawezekanaje watu wenye silaha wanavuka mpaka kirahisi na kuchinja watu zaidi ya miaka 10 Sasa na serikali ipo?What does Kenyan police do? People are getting butchered on daily basis.
![]()
Five civilians killed, some ‘beheaded’, in southeast Kenya
The attack by al-Shabab occurred in villages that border Somalia, an area where the group often carries out raids.www.aljazeera.com
Hivi kwa nini hawafikirii exhibition center!? Conferencing inaenda sambamba na exhibition! Na Tanzania kuna potential kubwa sana kwenye hii sekta! Na uhaba wa facilities ni wazi kabisa!Nimeona wanaugusia gusia sema hawajauwekea Budget ya maana , wameongela kwenye Budget ya Wizara ya Mambo ya Nje , pia wanataka ku expand JNICC kwa kujenga Auditorium Mpya
Huu ni ujinga wa kuita jina la Rais wa Zambia uwanja
True. Kwanza kuangalia kama kuna picha na unajipa shughulithat's why most Kenyans don't bother with their jealousy so much......we only visit here in the evening for 15 minutes after work
mmefikia kujifariji hapo mko kwenye jam mnaelekea kibera.True. Kwanza kuangalia kama kuna picha na unajipa shughuli
Sisi tunataka msiwepo kabisa humu, tubaki pekeetu.that's why most Kenyans don't bother with their jealousy so much......we only visit here in the evening for 15 minutes after work
Thats gambling my friend no new money kwenye productive sectors za uchuni maana hali ya uchumi haieleweki people are sacred to invest kwenye production the only safe place to safeguard your money is in real estate thats what is happening in Kenya right now but the effect is going to be catastrophic boom and bust economic cycle kwenye real estate ndio mnatengeneza rightnow kilio kitakuja kuwa kikubwa huko mbeleni.Real estate kenya ni big business. Hata sasa hivi wakati economy haiperfom poa hivo, unapata ndo kuna construction boom everywhere