Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

pipeline aje na rent ni over 100k?
It will never be Pipeline.
All serious cities watu wanaishi kwa apartment.
Even the so called mbweni ni upuzi tu za 50 by 100 plots.
Hope hujafungua hio video...


Tukuulize wew binafsi kati ya kujenga nyumba yako binafsi iwe na space na nje kidogo na mji...na ukitaka kwenda mjini unachukua BRT bus just im 20m uko at your daily work...

Na kupanga kwenye apartment yenye vyumba viwili na madirisha mawili ya kuview..bado bills nk utachagua maisha yap...

Hizo cities unazosifia watu kuishi kwenye apartments watu wengi hawapendi basi tu ni utafutaji...ndo maana wakizipata ukimbilia kujenga nyumba zao uko pembeni ya miji...



I have been there kileleshwa, kilimani, south C, Eastleigh after 10 years zitakuwa kama pipeline am sure...kwanza lords wengi wa kenya hawapendi kufanya maintance...


Tatizo la hayo maeneo ni barabara aisee...barabara nyingi za mitaa I Kileleshwa, kilimani, south c had westlanda zimejengwa ovyo hazina mitaro, zina rangi nyekundu na mashimo...

 
halafu alivyo mburula anapiga njuru huku anavuta mikopo behind the scene!
Huyu Rutto ni mtu wa ajabu sana, analazimisha mambo wakati Afrika nzima inajua Kenya haina uwezo.

Viongozi wa Sudan hawamtaki yeye kuwa msuluhuhishi wa mgogoro wao, yeye anakazimsha lazima awepo.

Viongozi wa DRC hawataki vikosi vya Kenya kuendelea kuwepo kutokana na kushindwa kufanya kazi, yeye analazimisha lazima waendelee kubaki huko, hii ni aibu kwa nchi kulazimisha kubaki ndani ya nchi nyingine wakati wenyeji hawakuhitaji.


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Halafu kuna watu wanafananisha Arusha na miji ya Kikunya! Ati Nakuru? ati Kisumu? Hamna cha Kisumu wala Nakuru ina 5 star hotel!
FzTLURZWYAIIsRS


FzTLURAWcAAt7bD
 
Huyu Rutto ni mtu wa ajabu sana, anakazimisha mambo wakati Afrika nzima inajua Kenya haina uwezo.

Viongozi wa Sudan hawamtaki yeye kuwa msuluhuhishi wa mgogoro wao, yeye anakazimsha lazima awepo.

Viongozi wa DRC hawataki vikosi vya Kenya kuendelea kuwepo kutokana na kushindwa kufanya kazi, yeye analazimisha lazima waendelee kubaki huko, hii ni aibu kwa nchi kulazimisha kubaki ndani ya nchi nyingine wakati wenyeji hawakuhitaji.


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

Ni dhahiri kazi aliyoomba imemshinda hata mwaka haujaisha! Ni ujinga kukashifu mikopo kwa kutengeneza chuki kwa kutumia mgongo wa Africa huku ukiendelea kukopa!
 
Jamaa anacho nishangaza ni pale anaopoongelea Wazungu halafu analeta reference za zilizotengenezwa na Wazungu wakijiongelea wao or kuponda jambo.

At least kama angeongelea mambo hayo kama uelewa wake binafsi. Mbaya hana uelewa binafsi na wala hana akili za kujitegemea.
Wewe uwezo wako wa kujadili mambo ni mdogo Sana, sipaswi kujadiliana na wewe.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Nilifikiri unatumia akili binafsi, kumbe ni vi Yutube mitandaoni vinakuendesha? mkuu, samahani, darasani ulikuwa unashika namba ngapi?
wanafikiri urusi ni kama iraq au libya wanasahau ulaya na marekani wameweka vikwazo vingapi lakini wajamaa wapo pale pale ......hawatetereki na wanapigana na karibu nchi 30 na marekani yenyewe ipo vitani na urusi aisee.....
 
hivi mnafikiri urusi ni kama kwa mtogole mnajisahaulisha kuwa urusi sio kama libya
urusi ni taifa lenye nguvu za kijeshi hata kiuchumi na ni beberu mkubwa sana nato na marekni wanalijua hilo nawashangaa nyir mnaolichukulia kizembe zembe hilo taifa aisee...
Mkuu, alichokifanya Putin ni ukomavu wa kisiasa na kupevuka kwa akili. Kwa nguvu za Kijeshi alizonazo dhidi ya Wagner, angeweza kuwasambaratisha na kumshika kiongozi wao, japo kwa gharama ya maisha ya watu wengi.

Lakini amechagua kujishusha na kufanya nao makubaliano na kulimaliza hilo tatizo ndani ya muda mfupi bila kuleta madhara yoyote.

Huku Afrika, kutokana na ujinga wetu, kamwe tusingekubali kujishusha, tungetaka kuonyesha ubabe na ujinga wetu, tungepigana Kama wanyama wa porini, Kama inavyotokea huko Sudan na sehemu zingine duniani, mwisho tunasingizia kuingiliwa na wazungu.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom