Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

This is not a rich neighborhood but you'll not find one like this in dar
A new pipeline in the making...

Tanzanian don't entertain living in the high rise ghettos and communities.....Every Tanzanian needs space and constructs his own house...ndo maana miji mingi ya Tanzania inapanuka sana...

This doesn't mean Tanzania has no high rise apartments though...but wekeza with precautions

Hapa ni Mbweni 35km from CBD

 
It's so tiresome to argue with most tanzanians here. They are so dumb and will never support their arguments with evidence, just spewing words and calling others 'huna akili'.
Ww akili unazo kwani? si bora sisi tunaijua kenya kuliko ww hata border ya tanzania hujawah kuiona 😅😅😅 so nani mwenye akili hapo??
 
This is not a rich neighborhood but you'll not find one like this in dar

I thought it was Eastleigh and South C that were developing rapidly, but from your video, it seems Kileleshwa and Kilimani are on steroids. In the next 3 years coupled with the affordable housing, these places will be something else considering many projects here are 20+ high end appartements
 
A new pipeline in the making...

Tanzanian don't entertain living in the high rise ghettos and communities.....Everyone Tanzanian needs space and constructs his own house...ndo maana miji mingi ya Tanzania inapanuka sana...

This doesn't mean Tanzania has no high rise apartments though...but wekeza with precautions

Hapa ni Mbweni 35km from CBD


pipeline aje na rent ni over 100k?
It will never be Pipeline.
All serious cities watu wanaishi kwa apartment.
Even the so called mbweni ni upuzi tu za 50 by 100 plots.
 
A new pipeline in the making...

Tanzanian don't entertain living in the high rise ghettos and communities.....Everyone Tanzanian needs space and constructs his own house...ndo maana miji mingi ya Tanzania inapanuka sana...

This doesn't mean Tanzania has no high rise apartments though...but wekeza with precautions

Hapa ni Mbweni 35km from CBD

These rich neighborhoods Nairobi inazo tena nyingi na classier.. Nairobi like any major city ina zoning laws ambapo kuna areas high-rise zinakubaliwa na kuna mahali hazikubaliki. Kileleshwa na kilimani zilikuwa mojawapo ya sehemu ambapo hazikuwa zinakubaliwa, but with the growth of Nairobi laws zilibalishwa ku allow high-rise kujengwa huko. Maghorofa zinazojengwa huku ni za hadhi si gorofa tu.
Hapa kupata apartment utatoa zaidi ya 1.6m pesa za Tanzania per month
 
pipeline aje na rent ni over 100k?
It will never be Pipeline.
All serious cities watu wanaishi kwa apartment.
Even the so called mbweni ni upuzi tu za 50 by 100 plots.
😅😅😅😅😅😅 kwanini unalia sasa na najua hio video hujaifungua am sure
 
These rich neighborhoods Nairobi inazo tena nyingi na classier.. Nairobi like any major city ina zoning laws ambapo kuna areas high-rise zinakubaliwa na kuna mahali hazikubaliki. Kileleshwa na kilimani zilikuwa mojawapo ya sehemu ambapo hazikuwa zinakubaliwa, but with the growth of Nairobi laws zilibalishwa ku allow high-rise kujengwa huko. Maghorofa zinazojengwa huku ni za hadhi si gorofa tu.
Hapa kupata apartment utatoa zaidi ya 1.6m pesa za Tanzania per month
Amekujibu vzr kabisa hebu tuliza akili msikilize kwanza 👇👇👇👇👇😁😁
A new pipeline in the making...

Tanzanian don't entertain living in the high rise ghettos and communities.....Everyone Tanzanian needs space and constructs his own house...ndo maana miji mingi ya Tanzania inapanuka sana...

This doesn't mean Tanzania has no high rise apartments though...but wekeza with precautions

Hapa ni Mbweni 35km from CBD

 
Vikindu ni pwani sio dar lakini [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Huu mgogoro wa wenyewe kwa wenyewe huko Urusi na jinsi unavyokwenda ni fundisho Sana kwa ninyi wenye kulaumu wazungu kwa Kila matatizo hapa duniani.

Putin ameamua kufuta usemi wake kwamba Wagner group ni wahaini (treason charges) na kukubali kukaa nao, Wagner nao wameacha kusonga mbele na kukubali kukaa meza Moja na serikali huko Belarus Ili wapate ufumbuzi "amicably".

Tofauti na Africa na nchi za kiarabu ambako kutokana na tamaa zao, ujinga na viburi kuwajàa, hawataki kukaa pamoja na kusikilizana, mwisho husingizia wazungu ndio wanaowachonganisha.

Huko Sudan, wamekataa kusuluhishwa eti kwasababu kiongozi wa majeshi ya serikali anataka lazima kiongozi wa RSF atambulike Kama muhaini.


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Huu mgogoro wa wenyewe kwa wenyewe huko Urusi na jinsi unavyokwenda ni fundisho Sana kwa ninyi wenye kulaumu wazungu kwa Kila matatizo hapa duniani.

Putin ameamua kufuta usemi wake kwamba Wagner group ni waaini (treason charges) na kukubali kukaa nao, Wagner nao wameacha kusonga mbele na kukubali kukaa meza Moja na serikali huko Belarus Ili wapate ufumbuzi "amicably".

Tofauti na Africa na nchi za kiarabu ambako kutokana na tamaa zao, ujinga na viburi kuwajàa, hawataki kukaa pamoja na kusikilizana, mwisho husingizia wazungu ndio wanaowachonganisha.

Huko Sudan, wamekataa kusuluhishwa eti kwasababu kiongozi wa majeshi ya serikali anataka lazima kiongozi wa RSF atambulike Kama muaini.


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

Tatizo lako bro ww hutaki kuelewa nachokwambia haya yote nilikwambia toka mwanzo ni siasa za vita hutengezwa maalumu kwa kusudi maalumu na mm nilikwambia toka jana same words even before 😁😁😁😁😁

Mzungu nilishakwambia ndio adui wa amani duniani hili hata uwende wapi halikwepeki vita vyote duniani chanzo ni mzungu au beberu kwa lugha nyingine na hata mahakama ya dunia imetengezwa kwa lengo la kuwalinda wao 😅😅😅😅

Na nilizungumza hapa toka mwanzo russia hapigani na ukraine bali anapigana na nato na hii ni vita ambayo itaamua dunia iende na one world order au multipolar world

Na weka maneno ya akiba very soon poland itaitika just wait 😅😅😅😅
 
Huu mgogoro wa wenyewe kwa wenyewe huko Urusi na jinsi unavyokwenda ni fundisho Sana kwa ninyi wenye kulaumu wazungu kwa Kila matatizo hapa duniani.

Putin ameamua kufuta usemi wake kwamba Wagner group ni waaini (treason charges) na kukubali kukaa nao, Wagner nao wameacha kusonga mbele na kukubali kukaa meza Moja na serikali huko Belarus Ili wapate ufumbuzi "amicably".

Tofauti na Africa na nchi za kiarabu ambako kutokana na tamaa zao, ujinga na viburi kuwajàa, hawataki kukaa pamoja na kusikilizana, mwisho husingizia wazungu ndio wanaowachonganisha.

Huko Sudan, wamekataa kusuluhishwa eti kwasababu kiongozi wa majeshi ya serikali anataka lazima kiongozi wa RSF atambulike Kama muaini.


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

vita vya sudan chanzo ni usa na ukiangalia ni kwa sababu wana oil and gas i think ni nchi tajiri sana sudan lakini hawawezi kua na amani kwasababu ya utajiri wao na mbaya zaidi ni vile iko africa ndio kabisaa😅😅😅

Go east go west adui wa haki na amani ni mzungu halipingiki na ukitaka kujua america anahusika vipi sudan tafuta mtu anaejua chanzo cha vita ya sudan sio vita ya jana hio au juzi ni vita vya siku nyingi sana vilivyokua vinapishana muda tu
 
Huu mgogoro wa wenyewe kwa wenyewe huko Urusi na jinsi unavyokwenda ni fundisho Sana kwa ninyi wenye kulaumu wazungu kwa Kila matatizo hapa duniani.

Putin ameamua kufuta usemi wake kwamba Wagner group ni waaini (treason charges) na kukubali kukaa nao, Wagner nao wameacha kusonga mbele na kukubali kukaa meza Moja na serikali huko Belarus Ili wapate ufumbuzi "amicably".

Tofauti na Africa na nchi za kiarabu ambako kutokana na tamaa zao, ujinga na viburi kuwajàa, hawataki kukaa pamoja na kusikilizana, mwisho husingizia wazungu ndio wanaowachonganisha.

Huko Sudan, wamekataa kusuluhishwa eti kwasababu kiongozi wa majeshi ya serikali anataka lazima kiongozi wa RSF atambulike Kama muaini.


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

Mm nilikwbia hii ni vita ya siasa toka jana tena nikakwambia before poland kitanuka anytime soon just wait and see 😅😅😅😅 na unajua Belarus na poland ziko vp ?
 
Mm nilikwbia hii ni vita ya siasa toka jana tena nikakwambia before poland kitanuka anytime soon just wait and see [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] na unajua Belarus na poland ziko vp ?
Poland ni mojawapo wa NATO hamna siku urusi au belarus itawaattack
 
Tatizo lako bro ww hutaki kuelewa nachokwambia haya yote nilikwambia toka mwanzo ni siasa za vita hutengezwa maalimu kwa kusudi maalumu na mm nilikwambia toka jana same words even before [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Mzungu nilishakwambia ndio adui wa amani duniani hili hata uwende wapi halikwepeki vita vyote duniani chanzo ni mzungu au beberu kwa lugha nyingine na hata mahakama ya dunia imetengezwa kwa lengo la kuwalinda wao [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Na nilizungumza hapa toka mwanzo russia hapigani na ukraine bali anapigana na nato na hii ni vita ambayo itaamua dunia iende na one world order au multipolar world

Na weka maneno ya akiba very soon poland itaitika just wait [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Wewe ni "typical African and very undeveloped brain", hujiamini na hutaki kukubali kwamba sisi waafrika na nchi zingine zinazoendelea tunao uwezo wa kujiamulia mambo yetu, ni jambo la kushangaza na kusikitisha kwa waafrika kuwa tunadhani wazungu wanaweza kutufanya vyovyote wapendavyo, wakiamua tupigane tunapigana, wakiamua tuache vita basi tunaacha.

Mkuu, matatizo mengi na mizozo mingi Afrika, yanatokana na sisi wenyewe kutokana na ubinafsi, ujinga unaochagizwa na ukabila, udini na tamaa za madaraka, tukipunguza hayo, tunaweza kusuluhisha matatizo yetu.

Abiy Ahmed wa Ethiopia, alitaka kuleta ujinga huo huo wa kuwaita Tigray kwamba ni wahaini na hataki kukaa nao pamoja, na alipeleka jeshi Ili kuwamaliza, alipoona wanajeshi wa Tigray wanamzidi nguvu, watu wakaanza maandamano kwamba "Western countries" zinawasaidia kuangusha serikali yake, alipopewa drones toka Uturiki na kuzuia Tigray kusonga mbele, akili zikamjia na kukubali kukaa nao na kufanya mazungumzo, Ethiopia Sasa imetulia baada ya Abiy Ahmedi kupunguza ujinga na kusingizia wazungu kwa upumbavu wake.

Hii tabia ya kujiona "Africans are helpless and hopeless", ni akili ya kitumwa na zaidi utaikuta kwa watu ambao huwaogopa na kuwathamini wazungu Kama Mungu.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom