Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

naona umeumia sana rohoni kwa kenya kupata Simba shoga.....hongera.

NB:
laiti kama huyo simba angekuwa katika ardhi ya Tz,serikali kwa kupitia wizara ya maliasili na utalii isingekubari taarifa zake zifike kwenye shirika lolote la habari.

haraka sana angeondolewa mbugani kimya kimya na kupelekwa kwenye maficho kisha angedungwa sindano ya sumu ili afie mbali.

in aibu sana kwa mnyama jasiri kama simba kusikia eti kuna simba shoga katika nchi.
basi huwajui wazungu....hio mambo ya ushoga kwa wanyama ndio huwa inawavutia sana tourists..vitu visivyo vya kawaida...tanzania ina wanyama sio? ila hakuna chochote kimeletwa kwa habari kote duniani in the last few days...ila hio ya ushoga kwa simba ipo kwenye kila media...so to us, its a tourist attraction...
 
sawa nadhani tumeelewana...mavi ya Tiffah hatutaki wakenya
too late,tayari mzigo wa diamond karanga unasambaa kwa kasi sana katika ardhi ya kenya.

latest update
a3c88ab71946d1388ff8f33ac55d6182.jpg
 
too late,tayari mzigo wa diamond karanga unasambaa kwa kasi sana katika ardhi ya kenya.

latest update
a3c88ab71946d1388ff8f33ac55d6182.jpg
marketing....nikiuza siwezi nikaiongelea vibaya ila mimi hapa ambaye sina haja ya biashara hiyo, nasema vitu vya kijinga wakenya hawawezi kununua...pole lakini ndugu
emoji23.png
emoji23.png
umemtetea sana kijana wa Tandale mpaka umetokwa na jasho jembamba...
emoji23.png
emoji23.png
lakini ukwli usemwe tu...wazungu husema the truth hurts
 
basi huwajui wazungu....hio mambo ya ushoga kwa wanyama ndio huwa inawavutia sana tourists..vitu visivyo vya kawaida...tanzania ina wanyama sio? ila hakuna chochote kimeletwa kwa habari kote duniani in the last few days...ila hio ya ushoga kwa simba ipo kwenye kila media...so to us, its a tourist attraction...
ni kweli,hilo hata mimi nalifahamu na tayari nilishaligusia katika post yangu moja ya awali.

ila kuna kitu kina click katika kichwa changu...mimi ni mtu ambaye akili yangu huwa inafanya calculation za haraka sana katika kung'amua mambo.

katika agenda ya ushoga,wazungu wanatumia nguvu kubwa sana katika kuziaminisha jamii za kiafrika kuwa ushoga si tatizo.

kumbuka kuwa jamii nyingi za kiafrika zimekuwa zikimchukulia mnyama simba kama alama ya ujasiri,ushupavu na nguvu.

nina mashaka kwamba habari za simba shoga wa kenya ipo katika mpango wao wa siri wa kuzishawishi jamii za kiafrika ziamini kuwa ushoga ni jambo la kawaida.
 
bare knuckles off.....no babysitting over here to make some losers feel good........poleni na low quality chibu products zenu hizo
 
jua kutofautisha marketing na ununuzi...hawa itakuwa wamepewa hizo karanga free ili wapigwe picha...inaitwa marketing...ama kwenu watu huwa wanapigwa picha wakila njugu...kila mtu anapigwa picha akila njugu...
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png



Hahaha unaambiwa ushike chibu njugu halafu unaambiwa smile. .....Hahaha. So hilarious
 
basi huwajui wazungu....hio mambo ya ushoga kwa wanyama ndio huwa inawavutia sana tourists..vitu visivyo vya kawaida...tanzania ina wanyama sio? ila hakuna chochote kimeletwa kwa habari kote duniani in the last few days...ila hio ya ushoga kwa simba ipo kwenye kila media...so to us, its a tourist attraction...
Mpaka sasa wamekuja watalii wangapi baada ya kivutio hiki kipya kuonekana?

Tz idadi ya watalii inazidi kuongezeka kila kukicha, hapo kwenu inashuka
 
Mpaka sasa wamekuja watalii wangapi baada ya kivutio hiki kipya kuonekana?

Tz idadi ya watalii inazidi kuongezeka kila kukicha, hapo kwenu inashuka
umemuuliza swali nzuri sana comrade... akikupa jibu lenye takwimu sahihi kutoka chanzo sahihi ni-tag.
 
diamond karanga imeleta kizaazaa kenya....wanatema povu lisilo mithirika....i remember some years back they use to say "all tanzanians are lazy".....now mtoto wa tandale is proving them wrong....



kuuza njugu hata mvivu bin mnyonge wa Zanzibar anauza tu
 
Back
Top Bottom