Wewe ndio kichwa puto, nimekwambia jibu ni hili" mnawepekea Israel na China kufanya nini?
Akikosekana nahamia Somalia au Sudan mimi

Kenya taarifa ya habari inatangazwa kwa English ila wananchi wakihojiwa wanaongea Kiswahili![]()



Standard zipi haswa?? Hizi?Hizi standard hazipatikani popote pale EA, mashakahola kama wanabisha watume picha kutoka ka Nairobi inayokaribia hii.
Nchi ya watumwa hiyo mkuu.Kenya taarifa ya habari inatangazwa kwa English ila wananchi wakihojiwa wanaongea Kiswahili![]()
Mkuu mbona umepiga picha downtown hata dar naweza kwenda downtown nikapiga picha hizo..,....Kwa mtandao wa barabara hadi za vichochoroni na mitaa ya hadhi za chini(Slums) Dar imeizidi nairobi...Nairobi kuzuri city central tu sio nje ya city centralStandard zipi haswa?? Hizi?
View attachment 2661845
Nairobi CBD huezani nayoView attachment 2661846View attachment 2661847View attachment 2661848View attachment 2661849View attachment 2661850View attachment 2661851
Mkuu mbona umepiga picha downtown hata dar naweza kwenda downtown nikapiga picha hizo..,....Kwa mtandao wa barabara hadi za vichochoroni na mitaa ya hadhi za chini(Slums) Dar imeizidi nairobi...Nairobi kuzuri city central tu sio nje ya city central

wewe ni chiziSasa nimeongea ukweli mkuuwewe ni chizi
Dar haina lami kwenye estates na makaazi labda udanganye wasioijua dar. 80% ya dar ni uswazi na lami zinahesabika.. Nairobi hadi kibera ina pavementsSasa nimeongea ukweli mkuu
Every year you bring your officers to train in our Military Academy, just like other African countries…. I can prove to you…. Show me a Kenyan officer graduating from your so called academy….Hakuna!Tuna peleka watu wetu kufanya nini huko?
In 1960s kabla ya Tanzania Military Academy kujengwa, higher training kijeshi walienda Egypt na kwingineko.
Sasa, hebu tupe mwongozo ukiambatana na ushahidi wa nini kinaeapeleka wanajeshi wetu huko, ikiwa higher military training karibia nchi zote za kusini mwa jangwa la Sahara, hutumia Tanzania Military Academy.
Mkuu njoo dar acha story za MITANDAONI...80% ya dar ni slum na lami zinahesabika....Ebu nitajie uswazi za dar city unazozijua wewe afu tuone kama hakuna lami?????? Go aheadDar haina lami kwenye estates na makaazi labda udanganye wasioijua dar. 80% ya dar ni uswazi na lami zinahesabika.. Nairobi hadi kibera ina pavements
Utamaduni wa dar ni tofauti na nairobi......hasa kuhusu estate na hata aina ya ujengaji nyumba na umilikaji wa viwanja....Ebu nitajie hiyo 80% ya dar ambayo ni uswazi na hakuna lami??????? Tuanzie na kijichi au mbagala au buza au Tandale au madale au tua ngoma au kimbiji au tandika au manzese au charambe au chamazi ????? Ebu nitajie hiyo 80% ya uswazi ambako hakuna lami maana mimi nipo hapa dar tabata kinyerezi??????Dar haina lami kwenye estates na makaazi labda udanganye wasioijua dar. 80% ya dar ni uswazi na lami zinahesabika.. Nairobi hadi kibera ina pavements
Acha kelele pitia hapoEvery year you bring your officers to train in our Military Academy, just like other African countries…. I can prove to you…. Show me a Kenyan officer graduating from your so called academy….Hakuna!
