joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Hahaha, ngoja nikufunze uchumi. Taxes hukusanywa kutoka sehemu ya GDP ya nchi husika. 24% ya GDP ndicho kiwango kizuri kwa nchi yenye mfumo mzuri wa ukusanyaji Kodi, nchi nyingi za Africa bado hazijafikia hicho kiwango Cha ukusanyaji.Wewe ni ngombe Sana, nani ametaja remittance ama ndo njia yako ya kutorokea. GDP estimates ni pesa intangible ambazo huwezi kuzitumia kulipia Deni.
Sasa wee jinga ukisema eti "ukiondoa madeni kwa GDP ya Kenya unabaki na 30bn$". Recession ndo inaweza punguza GDP ya nchi sio kulipa Deni.
Madeni yanalipwa na kodi, kodi haina uhusiano na GDP, zipo nchi nyingi zenye GDP kubwa lakini ukiangalia ushuru wanaokusanya na bajeti zao haziendani mfano Nigeria.
Unajiabisha ficha ujinga
Kenya kwa mfano, hukusanya kati ya 16 -18% ya GDP Kama Kodi. Nchi yenye GDP kubwa hukusanya pesa nyingi kwasababu pesa inayopatikana kutokana na kodi pia Huwa kubwa.
Sasa wewe sema, taxi inayotozwa na KRA hutoka wapi Kama sio kwenye uzalishaji wa bidhaa na huduma ndani ya Kenya?. Unadhani Kodi hutoka mbinguni?.
Utajidhalilisha, hujui kitu.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app



