Reborn Ktb
JF-Expert Member
- Mar 14, 2021
- 6,820
- 9,588
Kabul Afghanistan🤣🤣🤣Behind that building is what we call urban decayView attachment 2661708
Kabul Afghanistan🤣🤣🤣Behind that building is what we call urban decayView attachment 2661708
Hapo ni Mwanza tu .. hii nchi yetu Ina pesa bhana.. nchi inapiga hatua nyingi kwa wakati mmoja.. jamaa lilikua linaomba battle eti ya nje ya Dar na Nairobi 🤣🤣 nikamuuliza utawezana.? .. Mwanza alone Ina miradi mikubwa kuliko hata counties zao hata 5 combinedMwanza alone kuna miradi mingi na mikubwa kuliko mombasa, kisumu eldoret and nakuru combined na kama kuna mtu anabisha ajitokeze tu 😅😅😅
Akibisha tu ww nitag hapo hatujagusa barabara za tarura kila kona ya jiji 😁😁Hapo ni Mwanza tu .. hii nchi yetu Ina pesa bhana.. nchi inapiga hatua nyingi kwa wakati mmoja.. jamaa lilikua linaomba battle eti ya nje ya Dar na Nairobi 🤣🤣 nikamuuliza utawezana.? .. Mwanza alone Ina miradi mikubwa kuliko hata counties zao hata 5 combined
Ujenzi wa chuo kikuu ardhi mwanzaHapo ni Mwanza tu .. hii nchi yetu Ina pesa bhana.. nchi inapiga hatua nyingi kwa wakati mmoja.. jamaa lilikua linaomba battle eti ya nje ya Dar na Nairobi 🤣🤣 nikamuuliza utawezana.? .. Mwanza alone Ina miradi mikubwa kuliko hata counties zao hata 5 combined
Behind that building is what we call urban decayView attachment 2661708
Hii miradi inazaidi ya miaka kumi tangia Uhuru anaingia madarakani. Vyote hivyo si vipyaMwanza alone kuna miradi mingi na mikubwa kuliko mombasa, kisumu eldoret and nakuru combined na kama kuna mtu anabisha ajitokeze tu 😅😅😅
Sio vipya kwani vimeisha au?? 😅😅😅 nimekwambia mwanza alone kuna miradi mingi na ghali kuliko mombasa, kisumu, eldoret and nakuru combinedHii miradi inazaidi ya miaka kumi tangia Uhuru anaingia madarakani. Vyote hivyo si vipya
Hio miradi ya muda wa miaka kumi nyuma, je tukiweka miradi ya Mombasa ya miaka hiyo hiyo mtawezana.Sio vipya kwani vimeisha au?? 😅😅😅 nimekwambia mwanza alone kuna miradi mingi na ghali kuliko mombasa, kisumu, eldoret and nakuru combined
Hebu taja mradi mmoja wenye miaka 5 achilia mbali miaka 10 nitajie moja wenye 5yrs na ukipata unitag mm 😅😅😅😅Hio miradi ya muda wa miaka kumi nyuma, je tukiweka miradi ya Mombasa ya miaka hiyo hiyo mtawezana.
Sgr mradi wa 2009🤣🤣🤣🤣Hebu taja mradi mmoja wenye miaka 5 achilia mbali miaka 10 nitajie moja wenye 5yrs na ukipata unitag mm 😅😅😅😅
Wewe ndio kichwa puto, nimekwambia jibu ni hili" mnawepekea Israel na China kufanya nini?Ninapo kukumbusha kila mara kwamba wewe ni kichwa maji, usidhani ninakuonea. post yako niliyo reply umeonesha: Egypt, Iran na Algeria, ndio nikakuuliza uniambie nini wanaenda kufanya huko Egypt, Algeria an Iran.
Sasa umebadilika na kuja na Israel na China, pia umekosea. Hapo ni China tu.
Israel ndio walitusaidia kuanzisha Jeshi La Kujenga Taifa (JKT ), na mara baada ya kuvunja uhusiano wa kidiplomasia, hatukujihusisha nao kwa lolote na kawaida haiwezekani wanajeshi wetu kupelekwa huko kwa mafunzo na ni miaka hii ya karibuni tu ndio ubalozi wetu umefunguliwa tena huko Tel Aviv. Nipe jina la mwanajeshi aliyepata mafunzo Israel kuanzia mwaka 1980?
View attachment 2661784
SGR mwanza isaka umeanza 2021 na sasa uko over 31% na ni 341km my friend 😅😅😅Sgr mradi wa 2009🤣🤣🤣🤣