it's annoying to even compare an underdeveloped "city" of dar to Nairobi. That Kariakoo is not even half of umoja phase one estate.
Compare GDP
Think tanks
Multinational companies
Embassies
Roads
Estates
Planning
Airport
Academic institutions
Industries
Civilization
Urban lifestyle
sikuwahi kufikiria kuwa mafanikio ya mtanzania diamond plutnumz yanawatesa sana wakenya kiasi cha kutoa povu jingi sana kuhusu product yake ya karanga iliyoanza kupatikana nchini kenya hivi karibuni.
nilidhani wenye wivu na mafanikio yake watakuwa ni watanzania pekee maana ni kawaida kwa nabii kutoungwa mkono na watu wake wa nyumbani.
last 3 month,jiji la dar es salaam lilipata ugeni wa kahaba wa kikenya kwa jina la hudda monroe...alikuja ku-promote sambamba na kutafuta soko la product zake zinazohusiana na masuala ya urembo kwa kina dada.
hatukuona mtz hata mmoja kwenye ma-social media akitoa povu kuhusu product za kahaba hudda nchini tz.alipata support ya kutosha.
leo hii tunapoona wakenya wa jf wakitoa povu kuhusu product ya diamond karanga kupatikana nchini kenya,inatufanya tuamini ile tafsiri yao kuhusu neno "aggressive" kama ilivyoulizwa na comrade game over na kujibiwa na nyang'au mmoja.
kwa hakika wakenya ni "uncooperative and hostile,ready to attack any tanzanian or any product owned by a tanzanian"..watu wa old stone age.
the problem is that you think the national park is at the middle of the Nairobi CBD...that national park is not even near the CBD...its just some parts that have stretched and approached the CBD but it is perfectly situated outside the CBD for tourists who wish to get back to work quickly after a short safari.... tembea sio kukaa tu pale Manzese na kushika tama...
mwanza inayo national park tena 2km far from city center unabisha au???😀😀😀😀😀😀 aliekwambia hakuna mwambie akufundishe tena😛😛😛😛😛
Saanane Island National Park
Saanane Island is a fully fledged National Park since July, 2013, covering an area of 2.18 sq km comprises of three islets and aquatic environment. The islets lie on the southern part of the main Island.
Expand map
The park made a record of being the first ever National Park to be located within the City and the smallest National Park in both Tanzania and East Africa. The Park is the home of mammals like Impala, Rock Hyrax, Velvet Monkeys and Wild Cats. The presence of “De-brazas Monkey” underscores its potential as the only Park in the country inhabiting the species. Reptiles are also dominant; they include crocodiles, Monitor Lizards, Agama Lizards, Pancake and Leopard Tortoises, Snakes particularly Python.
The aquatic part of the Park inhabits a variety of fisheries life, mainly Tilapia and Nile Perch.
LOCATION
The Park is located 2km Southwest of Mwanza city centre, which lies in the Gulf of Lake Victoria (Latitude 2.5 S and Longitude 32 E).
talking of water....only 9% of darislam has piped water compared to Nairobi at 80% plus.. .kupima Nairobi na mji underdeveloped kama dar inachekesha sana.Kwanza most of dar residents don't even depict an urban lifestyle just like the poor city itself.
the problem is that you think the national park is at the middle of the Nairobi CBD...that national park is not even near the CBD...its just some parts that have stretched and approached the CBD but it is perfectly situated outside the CBD for tourists who wish to get back to work quickly after a short safari.... tembea sio kukaa tu pale Manzese na kushika tama...
it's only the demented Tanzanians that can compare their filthy city to Nairobi. hata watanzania wenzao honest wamekiri this obvious truth wakashambuliwa humu....Hahaha. There's a point this joke has to end
has the cassanova run to south Africa to sing in the hotel bathroom.....Hahaha. Mtu alipata chance ku collabo na Jamaican akaimba tu ujinga. ...heri Willy Paul sasa
sikuwahi kufikiria kuwa mafanikio ya mtanzania diamond plutnumz yanawatesa sana wakenya kiasi cha kutoa povu jingi sana kuhusu product yake ya karanga iliyoanza kupatikana nchini kenya hivi karibuni.
nilidhani wenye wivu na mafanikio yake watakuwa ni watanzania pekee maana ni kawaida kwa nabii kutoungwa mkono na watu wake wa nyumbani.
last 3 month,jiji la dar es salaam lilipata ugeni wa kahaba wa kikenya kwa jina la hudda monroe...alikuja ku-promote sambamba na kutafuta soko la product zake zinazohusiana na masuala ya urembo kwa kina dada.
hatukuona mtz hata mmoja kwenye ma-social media akitoa povu kuhusu product za kahaba hudda nchini tz.alipata support ya kutosha.
leo hii tunapoona wakenya wa jf wakitoa povu kuhusu product ya diamond karanga kupatikana nchini kenya,inatufanya tuamini ile tafsiri yao kuhusu neno "aggressive" kama ilivyoulizwa na comrade game over na kujibiwa na nyang'au mmoja.
kwa hakika wakenya ni "uncooperative and hostile,ready to attack any tanzanian or any product owned by a tanzanian"..watu wa old stone age.
talking of water....only 9% of darislam has piped water compared to Nairobi at 80% plus.. .kupima Nairobi na mji underdeveloped kama dar inachekesha sana.Kwanza most of dar residents don't even depict an urban lifestyle just like the poor city itself.
9% unaijua au unawashwa tu kuandika usivyojua....Sasa wewe unaishi kimaskini ndio unadhan kila mtu huishi kama ww. ..Nairobi is nothing my fren try to brag to bujumbura
meanwhile....
this is how diamond karanga is trending in kenya.
hawa ndio wale business minded kenyans,hawaangalii product imetoka nchi gani...maadam ina ubora na demand yake ni kubwa nchini kwao basi kazi huwa ni moja tu,kuchapa kazi ya kui-promote na kuhakikisha product hiyo inapata wateja wengi nchini kenya.
ooh my my i love these kenyans....hapa kazi tu...wale wakenya wenye wivu na chuki dhidi ya mafanikio ya diamond platnumz nendeni mkajirushe KICC.
machokaraa na majobless wa kikenya waliopo hapa jf wakiona hii watazidi kupatwa na hasira na kuendelea kutoa povu...wivu ni kitu kibaya sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.