Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

That karanga won't be successful in kenha
nimeshawaambia hizo vitu hakuna mtu atanunua...enyewe Diamond amejienjoy
emoji23.png
emoji23.png
 
nimeshawaambia hizo vitu hakuna mtu atanunua...enyewe Diamond amejienjoy
emoji23.png
emoji23.png


I haven't seen them in any Kenyan shop.even in the estates.....business isn't only some cheap pr where you hire people to poze and lie to us that you are making it big hahaha. E.g look at established businesses world over. ....they don't need to go on instagram with a snap shot of every "customer" they have.Tanzania is in a cold war with Kenya and I feel sorry for diamond's pet project of selling groundnuts to Kenya. He should think of value addition and produce peanut butter and not some cheap quick fix.
 
Nairobi vs Dar es Salaam

Hii ni miji miwili mikubwa sana Agrica mashariki na Central Africa

Nairobi upo katikati ya nchi wakati Dar es Salaam ipo ufukweni wa bahari
Miji hii kwa pamoja ni mizuri sana kwa kuitazama kuliko miji mingine yote kiukanda huu

DAR ES SALAAM
ni mji wenye majengo marefu yalio mengi kuliko mji wowote ule katika ukanda huu. Huu mji unaweza kuwa na idadi ya majengo yaliozidi ghorofa 9 mara mbili ya yale yalioko NAIROBI.
Majengo ya mji huu yako karibukaribu kiasi kwamba yanafanya mji uonekane ni majengo tu. Barabara katika mji huu sio pana saana kulinganisha na nairobi. Lkn mji huu unavutia sana kwa kuwa na warembo na watu wengi sana.
Kwa muonekano ni kubwa na inajengwa kila mahara

DSM pictures

Kutokana na ukubwa wa majengo
Kkoo ndo kunamajengo mengi zaid then posta

POSTA

51fa95664b2bf269a0d3a32f24a5dfe8.jpg
57875f8dac37866e870be99971a1b2bd.jpg
a911e9b021301cb59db492e8113156f0.jpg
b8c77982098f685bb200327cef11890b.jpg
50c4302bc4940a2a2a4ccd0ca836880b.jpg
7a27bb5586f3877f0d03182cb54f2dbe.jpg






KARIAKOO
hii sehem ni ya biashara
Kila mda kunafoleni ya watu
Ndo sehem yrnye majengo mengi kuliko yote DSM
3e1bfcc1c6c0f5fef06f270567374713.jpg
613d7a852eb12d77652c9f639ee6c7b5.jpg
e446ae2fbf2a0bc3b3cb244f37557deb.jpg
9e21c59cb29b18483afc132d90385118.jpg


UPANGA
9d09fdced66319b634cd298fb8f30973.jpg
d9c27a1910876d610a02a9a18347bb0b.jpg



it's annoying to even compare an underdeveloped "city" of dar to Nairobi. That Kariakoo is not even half of umoja phase one estate.
Compare GDP
Think tanks
Multinational companies
Embassies
Roads
Estates
Planning
Airport
Academic institutions
Industries
Civilization
Urban lifestyle

Nairobi wins by big margins.
 
NALIAMSHA DUDE:
types of photos they will never show us:
unfortunately this is how some white guys on instagram show to the world the image of kibera.
7a7f06749d54b4431eab4fde8f00b4c2.jpg
342dce0ceb7f4182c51d65c3754db153.jpg
71a247d635dd4a815b09fedb35ce6d2c.jpg
c02368a3cb85ba98a66f831ff8c32814.jpg
3a8c0bf7afe02116ce68c1eefb4d51de.jpg
12730060e12d5030b27c99a6d2827917.jpg
6153d25ab34564b9e1c765a3596f9a3a.jpg
d562d730fad30c46f90fb43aafe901c6.jpg
33c9c8af6af14b7f77b8da96769da5ed.jpg
62c671b1c0e2ba0eb99a266602b6f5a3.jpg
c890246d382d3fc8a4ae28a9785ff14d.jpg
30a47c28bdb6dfd701e9e34962eb8da7.jpg
51e73949b08f645c0c3b5e030facbcc2.jpg
190d3318d7ee3855652c0758ef8edb39.jpg
98c39f6cbefb796b5872e8bb49c8890b.jpg
Kwanini wanawakaribisha watalii kwenye hizo shitholes.
Ni ujinga sana huo, its like they're proud of Kibera hawa majamaa.
Wazungu wanazidi kutuona mafara.
 
it's annoying to even compare an underdeveloped "city" of dar to Nairobi. That Kariakoo is not even half of umoja phase one estate.
Compare GDP
Think tanks
Multinational companies
Embassies
Roads
Estates
Planning
Airport
Academic institutions
Industries
Civilization
Urban lifestyle

Nairobi wins by big margins.
Bring the margins on the table.
Nairobi ya enzi hizo bhana, 90's na early 2000.
Sasa hivi bongo inawapumulia makalioni
 
I haven't seen them in any Kenyan shop.even in the estates.....business isn't only some cheap pr where you hire people to poze and lie to us that you are making it big hahaha. E.g look at established businesses world over. ....they don't need to go on instagram with a snap shot of every "customer" they have.Tanzania is in a cold war with Kenya and I feel sorry for diamond's pet project of selling groundnuts to Kenya. He should think of value addition and produce peanut butter and not some cheap quick fix.
true...infact heri angejaribu margarines, milk products, perfumes, soft drink ama apparel etc...hizo karanga ma hustler wananunua zile za 5 bob kuchana...mapunk hawawezi nunua vitu za ujinga...his just chasing his own tail
 
katika harakati zangu pale Twitter😀😀 ANYWAY NOT HATIN bruh but angejaribu energy drink


 
it's annoying to even compare an underdeveloped "city" of dar to Nairobi. That Kariakoo is not even half of umoja phase one estate.
Compare GDP
Think tanks
Multinational companies
Embassies
Roads
Estates
Planning
Airport
Academic institutions
Industries
Civilization
Urban lifestyle

Nairobi wins by big margins.
mjinga mwingine atakuja hapa kucompare mghorofa eti ndio uzito wa city
 
city ni nyati na simba kama nairobi .
yaani unacheka peke yako...duh! there is nothing funny about that national park...it is unique...yaani hamna mji wowote ulio na national park duniani ispokuwa Nairobi...London wameanza juzi sarakasi hio
 
yaani unacheka peke yako...duh! there is nothing funny about that national park...it is unique...yaani hamna mji wowote ulio na national park duniani ispokuwa Nairobi...London wameanza juzi sarakasi hio
Unique kwa mzungu asiyemjua tembo zaidi ya picha za vitabuni,kwa mimi mtz naona umechanganya vipindi yaani aidha wewe umevamia makazi ya wanyama ama wanyama wamekuja kukaa mjini palipotakiwa kujengwa majengo aliyosema nduguyo,majengo siyo city.
 
it's annoying to even compare an underdeveloped "city" of dar to Nairobi. That Kariakoo is not even half of umoja phase one estate.
Compare GDP
Think tanks
Multinational companies
Embassies
Roads
Estates
Planning
Airport
Academic institutions
Industries
Civilization
Urban lifestyle

Nairobi wins by big margins.
Yur good at talking
Bring the pics of Umoja phase
Nairobi ni ndogo sana na majengo yake ni mojamoja
 
it's annoying to even compare an underdeveloped "city" of dar to Nairobi. That Kariakoo is not even half of umoja phase one estate.
Compare GDP
Think tanks
Multinational companies
Embassies
Roads
Estates
Planning
Airport
Academic institutions
Industries
Civilization
Urban lifestyle

Nairobi wins by big margins.
Nairobi ni kadogo sana
Hakuna sehem kama kariakoo uko
Usinifanye kama sijafika uko
 
Nairobi ni kadogo sana
Hakuna sehem kama kariakoo uko
Usinifanye kama sijafika uko



I am tired defending the obvious. ...Nairobi isn't perfect but probably the most developed city between Joburg and Cairo. Daresalaam to me is like Mombasa
 
true...infact heri angejaribu margarines, milk products, perfumes, soft drink ama apparel etc...hizo karanga ma hustler wananunua zile za 5 bob kuchana...mapunk hawawezi nunua vitu za ujinga...his just chasing his own tail
.
Siyo lazima kila mtu auze manukato, maziwa, vinywaji baridi au nguo. Jamaa ameamua kutoka kivingine, ameliona soko kwa wafrika mashariki na ameona fursa. Kibiashara ni wazo zuri sana kwakuwa;
  1. karanga haziharibiki kirahisi kama maziwa na haziitaji gharama zozote kuhifadhi.
  2. Karanga zipo nyingi Tanzania kwahiyo upatikanaji ni rahisi kwahiyo hata tumia gharama kubwa kuzipata.
We kwakua hujui ujasiriamali ndo maana unabeza, Diamond anaweza tumia mifuko ya hiyo hiyo karanga kutangaza biashara zake nyingine kama 'phone apps', nyimbo zake n.k bila kuingia gharama kubwa ya kutangaza.
 
I am tired defending the obvious. ...Nairobi isn't perfect but probably the most developed city between Joburg and Cairo. Daresalaam to me is like Mombasa
.
Kwanza tafuteni suluhisho la maji safi na salama ndo mjifikirie kujilinganisha na miji yenye akili.
 
Unique kwa mzungu asiyemjua tembo zaidi ya picha za vitabuni,kwa mimi mtz naona umechanganya vipindi yaani aidha wewe umevamia makazi ya wanyama ama wanyama wamekuja kukaa mjini palipotakiwa kujengwa majengo aliyosema nduguyo,majengo siyo city.
the problem is that you think the national park is at the middle of the Nairobi CBD...that national park is not even near the CBD...its just some parts that have stretched and approached the CBD but it is perfectly situated outside the CBD for tourists who wish to get back to work quickly after a short safari.... tembea sio kukaa tu pale Manzese na kushika tama...
 
Back
Top Bottom