Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

nimeshawaambia hizo vitu hakuna mtu atanunua.
I haven't seen them in any Kenyan shop.even in the estates.....business isn't only some cheap pr where you hire people to poze and lie to us that you are making it big hahaha. E.g look at established businesses world over. ....they don't need to go on instagram with a snap shot of every "customer" they have.Tanzania is in a cold war with Kenya and I feel sorry for diamond's pet project of selling groundnuts to Kenya. He should think of value addition and produce peanut butter and not some cheap quick fix.
Yaone haya mashenzi yalivyojawa na wivu...aibu.
 
Kwanini wanawakaribisha watalii kwenye hizo shitholes.
Ni ujinga sana huo, its like they're proud of Kibera hawa majamaa.
Wazungu wanazidi kutuona mafara.
iko hivi mdau,karibia charity organization zote zinazotoa huduma za kijamii katika slum za kenya zinaratibiwa au zinamilikiwa na wazungu.

kwa maana hiyo usishangae kuona picha nyingi za slums za kenya kwenye social media zinawekwa na wazungu badala ya wakenya.wazungu ndio wanaosaidia sana kutoa misaada ya kijamii katika hizo slums kuliko wakenya matajiri.yaani wao ndio wanaoshinda site zaidi kuliko wenyeji.
hope umenielewa ndg yangu.
 
true...infact heri angejaribu margarines, milk products, perfumes, soft drink ama apparel etc
pumbavu wewe....wivu utakua...eti angejaribu this angejaribu that....kwa wivu wenu wa kijinga na roho mbaya mliyonayo,hata angejaribu kuunda glass za dhahabu za kunywea maji,bado mngelalama.
 
i just like how this diamond karanga conversion is trending in here.....let's keep arguing more and more....
 
picha za dar zimeisha??😀😀😀😀😀 mmeanza sijui njugu karanga zilizoungua mara mbuga za wanyama,...which EA country doesnt hav national parks?🙄🙄🙄
nilimjibu mwenzio aliepost reserves ya kenya alaf inaonesha diamond karanga inakunyima usingizi😀😀😀😀😀
 
yaani unacheka peke yako...duh! there is nothing funny about that national park...it is unique...yaani hamna mji wowote ulio na national park duniani ispokuwa Nairobi...London wameanza juzi sarakasi hio
mwanza inayo national park tena 2km far from city center unabisha au???😀😀😀😀😀😀 aliekwambia hakuna mwambie akufundishe tena😛😛😛😛😛

Saanane Island National Park
Saanane Island is a fully fledged National Park since July, 2013, covering an area of 2.18 sq km comprises of three islets and aquatic environment. The islets lie on the southern part of the main Island.


Expand map

The park made a record of being the first ever National Park to be located within the City and the smallest National Park in both Tanzania and East Africa. The Park is the home of mammals like Impala, Rock Hyrax, Velvet Monkeys and Wild Cats. The presence of “De-brazas Monkey” underscores its potential as the only Park in the country inhabiting the species. Reptiles are also dominant; they include crocodiles, Monitor Lizards, Agama Lizards, Pancake and Leopard Tortoises, Snakes particularly Python.

The aquatic part of the Park inhabits a variety of fisheries life, mainly Tilapia and Nile Perch.

LOCATION
The Park is located 2km Southwest of Mwanza city centre, which lies in the Gulf of Lake Victoria (Latitude 2.5 S and Longitude 32 E).
 
I am tired defending the obvious. ...Nairobi isn't perfect but probably the most developed city between Joburg and Cairo. Daresalaam to me is like Mombasa
hahahaha nonsense 😀😀😀😀😀😀😀😀😀 kula ushibe ndio uzungumze
 
i just like how this diamond karanga conversion is trending in here.....let's keep arguing more and more....


l prefer karanga za hawkers. .....buy Kenyan build Kenya. Kenya tunaita kujenga hustlers
 
true...infact heri angejaribu margarines, milk products, perfumes, soft drink ama apparel etc...hizo karanga ma hustler wananunua zile za 5 bob kuchana...mapunk hawawezi nunua vitu za ujinga...his just chasing his own tail
Chief naweza kukubaliana na wewe kwamba hizo karanga kwa ma hustler na watu wazima hawatazishobokea kiivyo,,lakini nakuhakikishia kwa watoto wadogo na hata wanafunzi watazilamba sana,na naamini hata watengenezaji walitarget soko la watoto kwani hata kwa huku Bongo hao ndo wateja wakuu,na unajua mtoto akishapenda kitu anavyokuwa king'ang'anizi

Ushauri wangu kwako ni kwamba kama una mtoto/watoto tafadhali usijaribu kumuonjesha/kuwaonjesha.!
 
true...infact heri angejaribu margarines, milk products, perfumes, soft drink ama apparel etc...hizo karanga ma hustler wananunua zile za 5 bob kuchana...mapunk hawawezi nunua vitu za ujinga...his just chasing his own tail
Chief naweza kukubaliana na wewe kwamba hizo karanga kwa ma hustler na watu wazima hawatazishobokea kiivyo,,lakini nakuhakikishia kwa watoto wadogo na hata wanafunzi watazilamba sana,na naamini hata watengenezaji walitarget soko la watoto kwani hata kwa huku Bongo hao ndo wateja wakuu,na unajua mtoto akishapenda kitu anavyokuwa king'ang'anizi

Ushauri wangu kwako ni kwamba kama una mtoto/watoto tafadhali usijaribu kumuonjesha/kuwaonjesha.!
 
nilimjibu mwenzio aliepost reserves ya kenya alaf inaonesha diamond karanga inakunyima usingizi😀😀😀😀😀
diamond karanga inawanyima usingizi wakenya...wanajiribu kuja na suggestions tofauti tofauti ili kudhihirisha chuki yao....wamesahau kuwa diamond ana product nyingine ya chibu perfume.
 
Chief naweza kukubaliana na wewe kwamba hizo karanga kwa ma hustler na watu wazima hawatazishobokea kiivyo,,lakini nakuhakikishia kwa watoto wadogo na hata wanafunzi watazilamba sana,na naamini hata watengenezaji walitarget soko la watoto kwani hata kwa huku Bongo hao ndo wateja wakuu,na unajua mtoto akishapenda kitu anavyokuwa king'ang'anizi

Ushauri wangu kwako ni kwamba kama una mtoto/watoto tafadhali usijaribu kumuonjesha/kuwaonjesha.!
wanachojua wao ni kukosoa tu kwasababu diamond karanga ni bidhaa inayozalishwa Tz.

hawajui kuwa the targeted costomers wa diamond karanga ni watoto wadogo wa nursery school na wale wa standard one na three kwa primary school.

asante kwa kuwafafanulia comrade.
 
nimeshawaambia hizo vitu hakuna mtu atanunua...enyewe Diamond amejienjoy
emoji23.png
emoji23.png
Watanunua tu na wananunua andaa tangazo ukalilipie zisiuzwe Kenya. ...andaa kipindi ulipie kwenye national t.v. watu wasinunue izo karanga. ...unless otherwise watanunua na vijana watapata ajira vilevile...
 
Back
Top Bottom