Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nairobi vs Dar es Salaam

Hii ni miji miwili mikubwa sana Agrica mashariki na Central Africa

Nairobi upo katikati ya nchi wakati Dar es Salaam ipo ufukweni wa bahari
Miji hii kwa pamoja ni mizuri sana kwa kuitazama kuliko miji mingine yote kiukanda huu

DAR ES SALAAM
ni mji wenye majengo marefu yalio mengi kuliko mji wowote ule katika ukanda huu. Huu mji unaweza kuwa na idadi ya majengo yaliozidi ghorofa 9 mara mbili ya yale yalioko NAIROBI.
Majengo ya mji huu yako karibukaribu kiasi kwamba yanafanya mji uonekane ni majengo tu. Barabara katika mji huu sio pana saana kulinganisha na nairobi. Lkn mji huu unavutia sana kwa kuwa na warembo na watu wengi sana.
Kwa muonekano ni kubwa na inajengwa kila mahara

DSM pictures

Kutokana na ukubwa wa majengo
Kkoo ndo kunamajengo mengi zaid then posta

POSTA

51fa95664b2bf269a0d3a32f24a5dfe8.jpg
57875f8dac37866e870be99971a1b2bd.jpg
a911e9b021301cb59db492e8113156f0.jpg
b8c77982098f685bb200327cef11890b.jpg
50c4302bc4940a2a2a4ccd0ca836880b.jpg
7a27bb5586f3877f0d03182cb54f2dbe.jpg






KARIAKOO
hii sehem ni ya biashara
Kila mda kunafoleni ya watu
Ndo sehem yrnye majengo mengi kuliko yote DSM
3e1bfcc1c6c0f5fef06f270567374713.jpg
613d7a852eb12d77652c9f639ee6c7b5.jpg
e446ae2fbf2a0bc3b3cb244f37557deb.jpg
9e21c59cb29b18483afc132d90385118.jpg


UPANGA
9d09fdced66319b634cd298fb8f30973.jpg
d9c27a1910876d610a02a9a18347bb0b.jpg
 
MOROCCO
adb06160eca476fbdd3f239f007db112.jpg
cb0aaf0d2f8694dab818ea6e72056d31.jpg
946840f1bcdd61bcf183660e520ec88e.jpg
836529b68794b34be93fd27977856899.jpg

8517e2c3dbc0b4b03c9a9999918187d4.jpg


MAKUMBUSHO

90e16a36494933d67f2e4849aa2246b3.jpg
922b420e9ac354a3dd0881a26da65322.jpg
3b3f9ceecdfe5763e5e40c920295b7c0.jpg
http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/893d

MLIMANI[IMG]http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/8e3bfac09161af99b2feaa8f8d092524.jpg

Hapo bado kuna visehem vingi vinavyojengwa
Kama magomen.
Manzese,
kawe,
Masaki etc
 
lol...we know this desperate tactics of taking a photo of any useless thing. Diamond alipata watu watano na cameraman ndio apige rented people kama wameshika njugu yake.....pwahahaha. Mimi sijawahi ziona in any Kenyan shop honestly
asante kwa povu msee....ila punguza hasira...wahenga hunena "hasira hasara.
 
NAIROBI
Huu mji ni mzr na Majengo yake yapo mbalimbali
Hii uufanya uwe na eneo kubwa la kuweka msitu na barabara kubwa
Na kumbuka Half of Nairobi ni mbuga ya Wanyama
Ni mzr japo ni mdogo kwa Dar es Salaam interms of buildings
Its possible picha moja ya Nairobi ukaona majengo yote ya mji huo
Also climate ya Nairobi ni nzri sana
5df9534c12e07f2c27d0bfbe19283b48.jpg


97b1c201c8c5a6e848fd271ee2109906.jpg

801d3f14bb6c784c856abfbbb1b63e0e.jpg
b92848c2624616101471c18ee60ceac2.jpg
252e3334a67f5b993f664fb66e09d4a2.jpg
cff63e0099ecfafd7c8792af0fc5f48e.jpg
 
meanwhile...
now trending: the view of nairobi CBD with mike sonko as a governor.
720079ae8aef89aa22213c04a30c052e.jpg
e463a0095e9ebfaf54f2bb6fd308fad9.jpg
 
Noway inabidi watengewe mahali za biashara CBD namna iyo hapana
siasa za jubilee zinaenda kuharibu muenekano wa jiji la nairobi....ukute wakati wa kampeni za kutafuta ugavana,mike sonko aliwahadi hawkers (wamachinga) kuwa akishinda tu nafasi hiyo ataruhusu wafanye uchuuzi mitaa ya CBD.
 
siasa za jubilee zinaenda kuharibu muenekano wa jiji la nairobi....ukute wakati wa kampeni za kutafuta ugavana,mike sonko aliwahadi hawkers (wamachinga) kuwa akishinda tu nafasi hiyo ataruhusu wafanye uchuuzi mitaa ya CBD.
Daah siasa nazichukia basi tu
 
Kenya has been ranked third in Sub-Saharan Africa in the 2017 World Bank Ease of Business Index, moving 12 places to a global ranking of 80 out of 190 countries.

The World Bank Report, which assesses among other factors the processes required to start a business, placed Kenya third in Sub-Saharan Africa behind Mauritius and Rwanda.

Industrialization Cabinet Secretary Adan Mohammed attributed the improvement to reforms in starting a business, dealing with construction permits, getting electricity, access to credit, paying taxes, and trading across borders.

“The Improvements are driven by efforts by the government and the private sector in improving the business climate. Kenya has delivered the highest number of business-related reforms on the African continent for the second year running,” he said.

The country has moved 53 positions over the last three years and the new position is Kenya’s best performance in the last 15 years.

Last year, Kenya moved 21 places to position 92 globally making it the third most improved economy for two years in a row.

In the 2016 report, Kenya was ranked 113 having moved 28 positions from the previous year.

The target for Kenya now is to attain position 50 by 2022.

“Our improvement starts today for next year. Our target is to be in the top 50 countries in the world in the next couple of years, and we put that target three years ago,” CS Mohammed said in a press address at the National Social Security Fund (NSSF) building.

The report has of course caught the eye of President Uhuru Kenyatta who has expressed pride over the improved performance.

“Proud that Kenya has moved up 12 spots to 80 in the 2018 World Bank global Doing Business rankings. We were ranked 92 last year and 136 in 2013.

“This is our country’s best performance in 15 years. Cumulatively, Kenya has moved up 56 spots over the past 3 years,” said Uhuru.

He added: “Being ranked as 3rd most reformed country in Sub-Saharan Africa shows that Government efforts to enhance the business environment are bearing significant fruit.”
 
meanwhile....
this is how diamond karanga is trending in kenya.

hawa ndio wale business minded kenyans,hawaangalii product imetoka nchi gani...maadam ina ubora na demand yake ni kubwa nchini kwao basi kazi huwa ni moja tu,kuchapa kazi ya kui-promote na kuhakikisha product hiyo inapata wateja wengi nchini kenya.

ooh my my i love these kenyans....hapa kazi tu...wale wakenya wenye wivu na chuki dhidi ya mafanikio ya diamond platnumz nendeni mkajirushe KICC.

b6ac2c44d7f72ecca31749ee9b43a6ce.jpg
36abe9fcd87d73f38ea3ff394f14393d.jpg
31fff1905fd31f81a9be83478d84b734.jpg
e38abac763776fa82dd1c7421eda94b0.jpg
7eeae9e851c6fbe1965d5b1f958a93fa.jpg
316950a9001dbe18b594604b8fc721f7.jpg
e2c4df62539facc3a9df34c46b120a5b.jpg
c00761a292fac85a1183f09db9be6bb9.jpg
ecaf0c5bd372f6648fe3a5705c04ff85.jpg
ce8c81aedca7c3c49426aef8b032c36f.jpg
9d85f570283db6a9fc6fe9be0145321e.jpg
bf8d335f836069b833304492d48df34b.jpg
b1a6cd096a02c16bc96bfa161e22c24d.jpg


machokaraa na majobless wa kikenya waliopo hapa jf wakiona hii watazidi kupatwa na hasira na kuendelea kutoa povu...wivu ni kitu kibaya sana.
That karanga won't be successful in kenha
 
Back
Top Bottom