ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 82,487
- 88,621
😂😂
Ni kweli kabisa. Hata mimi nimenunua mafuta shelui 20,000/= lita 5.Mafuta ya alizeti sasa yameshaanza kufika sokoni vizuri!! Mimi nanunua 5liters kwa 24,000 hapa Dar es salaam. Nawaonea huruma wachuuzi kama kina MO soon mafuta imported yatakosa soko kabisa!
Mafuta ya alizeti ya wajasiriamli wadogo yako mengi sana!!
Dah hata uji utanyweka kweli?Rais wa ma hustlers na majobless [emoji16][emoji16]
Unga 2kg now reaches 250jsh=tsh 4000
![]()
Ruto’s ‘Sh150 to Sh200’ Unga now approaching the Sh250 mark
On May 17, 2023, Nairobi News reported that the 2 kilogram Sh 150 maize meal flour President Ruto announced had disappeared from supermarket shelves. This was two weeks after he announced thenairobinews.nation.africa
Kazi walisema mpaka July sasa hivi inafanyiwa certification na mamlaka za anga ili iweze kutumika.Naona B767-300F inavutwa apa na pushback tug, sijui leo ndio linaanza kazi rasmi?
Hizo bilevel zikiwa mpya bei yake inaweza kuwa zaidi ya zile behewa za kawaida ila hizo ni used zilikuwa zinatumika Germany na zimekuwa renovated by 85%. Gharama iliyotumika ni kama USD 20m behewa 30 na vichwa 2 piga hesabu zitakuwa zimegharinu kiasi gani?Usijipe matumaini kabisa. Hizi hivyo mno, yaani bora zile za Korea. mbaya hizi bei ya behewa moja una nunua zile za Korea tatu, hapo zimepelekwa Germany kwa ukarabati zimekuja hivi.
huyu mama 2025 hatufai kwakweli.
Ok ok mana nilivyoona limetolewa anga linaletwa site huku nkajua kazi imeanza kumtoa kanga manyoya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kazi walisema mpaka July sasa hivi inafanyiwa certification na mamlaka za anga ili iweze kutumika.
Show me even a single road in Tz with an interchange in the villages!Kwa Kenya hiyo ndo big road project?
Mkuu, hii gharama ya $20M kwa behewa 30 na vichwa viwili ni jumla pamoja na manunuzi au ni kukarabati tu?. Kama ni gharama yote, basi hakuna sababu ya kununua mpya toka Korea, hizi tutakua tumeokota Dodo chini ya mnazi.Hizo bilevel zikiwa mpya bei yake inaweza kuwa zaidi ya zile behewa za kawaida ila hizo ni used zilikuwa zinatumika Germany na zimekuwa renovated by 85%. Gharama iliyotumika ni kama USD 20m behewa 30 na vichwa 2 piga hesabu zitakuwa zimegharinu kiasi gani?
Interchange kijijini ya nini huo ni ufisadi wa viongozi wenu ndo maana mnadeni yasiyolipikaShow me even a single road in Tz with an interchange in the villages!
Mkuu, hakuna mfanyabiashara mkweli hata mmoja hapa duniani, hawa sio watu wa kuwachekea hata kidogo.Wakenya mipakani wavamia Tanzania kusaka urahisi wa maisha
Unajenga interchange villages for which purpose ?? Ndio maana debt to GDP ratio inawatafuna nyama zenu kwa kujenga miradi haina tija kwa sasa kwenye uchumi wenu😅😅 unajenga interchange sehem itahitaji labda 50yrs to come alaf unajiita msomi serious?? Nchi haina hata pesa ya kulipa wafanyakaziShow me even a single road in Tz with an interchange in the villages!