ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
After 15 yrs ago ndio hii kitu mumejenga😅😅Konza vertical infrastructure coming up nicely
Tukisema ni white elephant munakasirika
After 15 yrs ago ndio hii kitu mumejenga😅😅Konza vertical infrastructure coming up nicely
Mimi nina mzuka wa kuona vichwa vyake viko vipiHizo bilevel zikiwa mpya bei yake inaweza kuwa zaidi ya zile behewa za kawaida ila hizo ni used zilikuwa zinatumika Germany na zimekuwa renovated by 85%. Gharama iliyotumika ni kama USD 20m behewa 30 na vichwa 2 piga hesabu zitakuwa zimegharinu kiasi gani?
Mkuu mbona sikuelewi?, nahisi Kama unalalamika Sana bila sababu za msingi. Sababu za kuvunja mkataba zimeelezwa wazi kwamba hilo kampuni lilishindwa kutekeleza kipengele Cha kumaliza kazi kwa wakati, Sasa hapo Kuna shida gani?."TRC itself said it had terminated the contract with Turkish company Eurowagon, which was repairing the wagons after failing to complete the construction of two electric train and 30 passenger carriages, for the test runs.
It said according to the agreement, the equipment was supposed to be completed in November 2021, but since Eurowagon failed to meet the terms of the contract, TRC terminated the contract worth 26.6 million Euros on February 25." ~ The Citizen.co.tz
Ile body ya wakurugenzi haikupigwa chini for nothing.
Baada ya Magufuli kufa, kuna ujinga mwingi sana uliendelea na hii contract waliovunja kwakua tu hao jamaa walikuwa wanafanya renovation ya nguvu sana sasa walipochelewa kwa sababu ya vifaa jamaa wakavunja na kupeleka kwingine kwaajili ya upigaji ndio unaona yamekuja hovyo.
Nyang'au zimefurahi sana na wameenda mbali hadi kujimilikisha Azam Media
Wakenya hawataki KBC, wanataka Azam
Na sehemu za TV zipo inaonekana bado hazijafungwa tu sio kwamba hazipoMkuu mbona sikuelewi?, nahisi Kama unalalamika Sana bila sababu za msingi. Sababu za kuvunja mkataba zimeelezwa wazi kwamba hilo kampuni lilishindwa kutekeleza kipengele Cha kumaliza kazi kwa wakati, Sasa hapo Kuna shida gani?.
Kuhusu hayo mabehewa yaliyoletwa, ulitaka yaweje mkuu?, Kwa hiyo bei ya $26M kwa mabehewa 30 ya ghorofa na vichwa viwili ni bei nzuri sanaaa, hakuna haja ya Kulalamika
1)Kila behewa linabeba watu 140, hii ni mara mbili ya hizi behewa mpya tunazotengeneza toka Korea
2)Wastani wa Kila behewa Moja la ghorofa lenye kubeba watu 140 ni $630K, wakati wastani wa gharama za behewa Moja toka Korea lenye kubeba watu 75 ni $850K. Ukipiga hesabu kwa idadi ya abiria, hii Ina maana kwamba behewa Moja la ghorofa gharama yake ni $315K vs $850K behewa za Korea.
Mkuu, kukosekana kwa TV na sehemu za kuchaji simu, ni mambo madogo Sana ukilinganisha na bei tuliyonunulia.
Nyang'au zimefurahi sana na wameenda mbali hadi kujimilikisha Azam Media
Hivi ndivyo tunavyowawin kwa soft power halafu all of a sudden 💥BOOM💥 wanajikuta tumeshawatawala mazima kwa kila kitu. Akipandisha mabega anakula sanctions kama za yuesiei toka Tz.Kwakweli ukisoma comments unaona namna gani Wakundustani wamefarijika. Ni Habari njema sana kwao .
Decency in tanganyika is a big deal...what does calling another country's citizens with unprintables help you with. You all pretend to hate Kenya but chini ya maji you are all yearning to come to Kenya for better opportunities and deals...lol.Thats why your insecurities made you to start this thread and massage your sorry a*s*es ...haha.Kwakweli ukisoma comments unaona namna gani Wakundustani wamefarijika. Ni Habari njema sana kwao .
your dodoma is 60 years old with nothing to show for......tuwache polepole....don't post me those desperate 5th world scale nonsense you are doing in your overrated dodoma village to waste my time..byeAfter 15 yrs ago ndio hii kitu mumejenga
Tukisema ni white elephant munakasirika
Compare that pig sty to kinoru stadium in Meru town....lol
mother of uglies.....this is a city in tanganyika jeez.....your standards are a record low...or maybe its madness
Sasa hapo kijijini zimapita gari ngapi kwa siku?Watanzania huwa mnachekesha sana. Kama hamna visingizio ndo tele. Kwaivo population yenu yote ipo dar ndo maana hamuitaji interchanges mwanza au arusha. Ukweli ni kuwa kwenye barabara mpo chini si la priority wala nini. Tutajengaje interchange kama haihitajiki??
sema tu hamna...simple.tanganyika ligi yenu ni malawi na Mozambique....Sasa hapo kijijini zimapita gari ngapi kwa siku?