Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Screenshots_2023-06-09-15-08-34.png
Screenshots_2023-06-09-15-08-45.png
Screenshots_2023-06-09-15-07-35.png
Screenshots_2023-06-09-15-07-44.png
Screenshots_2023-06-09-15-07-54.png
Screenshots_2023-06-09-15-08-08.png
Screenshots_2023-06-09-15-08-21.png
 
What Tanzanians are making noise about is being done in satellite towns like Juja without much noise....I like how Kenya works silently.
download%20(3).jpg
 
Leta proof ya ulichosema! Bei ya behewa moja ni tatu za Korea! Halafu hizo behewa zilikuwa Ujerumani na si zilipelekwa Ujerumani!
Leta proof ya ulichosema! Bei ya behewa moja ni tatu za Korea!
Sikiliza clip ya mahojiano ya TRC engineer Kimario anazungumizia hiyo bei kwenye hilo behewa na kuongeza kuhusu swala la moto.

Halafu hizo behewa zilikuwa Ujerumani na si zilipelekwa Ujerumani!

"TRC itself said it had terminated the contract with Turkish company Eurowagon, which was repairing the wagons after failing to complete the construction of two electric train and 30 passenger carriages, for the test runs.
It said according to the agreement, the equipment was supposed to be completed in November 2021, but since Eurowagon failed to meet the terms of the contract, TRC terminated the contract worth 26.6 million Euros on February 25." ~ The Citizen.co.tz

Sasa nipe location ya Turkish company Eurowagon hizo behewa zilipokuwa zikishughulikiwa at first kabla ya kupelekwa or kurudishwa Germany.
 
Hizo bilevel zikiwa mpya bei yake inaweza kuwa zaidi ya zile behewa za kawaida ila hizo ni used zilikuwa zinatumika Germany na zimekuwa renovated by 85%. Gharama iliyotumika ni kama USD 20m behewa 30 na vichwa 2 piga hesabu zitakuwa zimegharinu kiasi gani?
"TRC itself said it had terminated the contract with Turkish company Eurowagon, which was repairing the wagons after failing to complete the construction of two electric train and 30 passenger carriages, for the test runs.
It said according to the agreement, the equipment was supposed to be completed in November 2021, but since Eurowagon failed to meet the terms of the contract, TRC terminated the contract worth 26.6 million Euros on February 25." ~ The Citizen.co.tz

Ile body ya wakurugenzi haikupigwa chini for nothing.

Baada ya Magufuli kufa, kuna ujinga mwingi sana uliendelea na hii contract waliovunja kwakua tu hao jamaa walikuwa wanafanya renovation ya nguvu sana sasa walipochelewa kwa sababu ya vifaa jamaa wakavunja na kupeleka kwingine kwaajili ya upigaji ndio unaona yamekuja hovyo.
 
Show me even a single road in Tz with an interchange in the villages!
We dont spend money meant for public projects haphazardly we set priorities and get value for money in each project unlike you guys mwanasiasa anaamua ajenge interchange kijijini kwake na hela apige so sad kujivunia upuuzi kama huu wakati people are dying of hunger.
 
Mkuu, hii gharama ya $20M kwa behewa 30 na vichwa viwili ni jumla pamoja na manunuzi au ni kukarabati tu?. Kama ni gharama yote, basi hakuna sababu ya kununua mpya toka Korea, hizi tutakua tumeokota Dodo chini ya mnazi.
Ni jumla kununua na kutengeneza ila baada ya mkandarasi kuzingua walisema watatumia mkandarasi mwingine at free cost maana euro wagon alilipwa 35% kwaajili ya ku procure mabehewa na transfer of ownership to TRC , the rest nadhani ndio ya matengenezo.
 
We dont spend money meant for public projects haphazardly we set priorities and get value for money in each project unlike you guys mwanasiasa anaamua ajenge interchange kijijini kwake na hela apige so sad kujivunia upuuzi kama huu wakati people are dying of hunger.
Watanzania huwa mnachekesha sana. Kama hamna visingizio ndo tele. Kwaivo population yenu yote ipo dar ndo maana hamuitaji interchanges mwanza au arusha. Ukweli ni kuwa kwenye barabara mpo chini si la priority wala nini. Tutajengaje interchange kama haihitajiki??
 
Dom government city .. 🔥🔥🔥 mwaiofhawaii unaumia ukiwa wapi.? 👇. New city in the making

Hahaha 🤣…ati naumia nikiwa wapi?….. but why?… Niko vacation na Familia…and as I said before, am not against government/ Mangufuli City…though just like Dar downtown, it will reflect a small percentage of the overall Uswazi majority Dodoma …. Still on same issue, I will take private invested Tatu and Konza cities any day of the week over a government project….. in the long run, Tatu and Konza will have no equal in subsaharan Africa…period!
 
Back
Top Bottom