Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wanigeria wanatuma nyumbani hela zaidi ya budgets za nchini nyingi ukanda huu . Alafu utaskia machizi mengine hapa wakisema proudly uchumi wa nigeria ni mkubwa on paper


Africa's Largest Remittances (Money Sent Back Home by Citizens Abroad) in 2022

1. Egypt - $32 billion

2. Nigeria -$21 billion

3. Morocco - $10.75 billion

4. Ghana - $4.7 billion

5. Kenya - $4.027 billion

6. Tunisia -$3.044 billion

7. Senegal - $2.9 billion

8. Ethiopia - $2.5 billion

9. Algeria - $1.829 billion

10. Zimbabwe - $1.66 billion

11. Uganda - $1.1 billion
 
Mbona mnakufa njaa kuleni ujenzi sasa. Mngewekeza kwenye kilimo irrigation schemes na the whole chain ya kilimo imgekuwa mmefanya uamuzi wa busara lakini sio railway city huu ni upuuzi wakati watu wanakufa njaa
Tunawekeza kwenye irrigation, na bado tunawekeza kwenye ujenzi
 
Wanigeria wanatuma nyumbani hela zaidi ya budgets za nchini nyingi ukanda huu . Alafu utaskia machizi mengine hapa wakisema proudly uchumi wa nigeria ni mkubwa on paper


Africa's Largest Remittances (Money Sent Back Home by Citizens Abroad) in 2022

1. Egypt - $32 billion

2. Nigeria -$21 billion

3. Morocco - $10.75 billion

4. Ghana - $4.7 billion

5. Kenya - $4.027 billion

6. Tunisia -$3.044 billion

7. Senegal - $2.9 billion

8. Ethiopia - $2.5 billion

9. Algeria - $1.829 billion

10. Zimbabwe - $1.66 billion

11. Uganda - $1.1 billion
Remmitances haisabiwi katika GDP, hivi huko kwenu elimu yenu ikoje?.
1)What is GDP?
2)How GDP is calculated?.
 
Wanigeria wanatuma nyumbani hela zaidi ya budgets za nchini nyingi ukanda huu . Alafu utaskia machizi mengine hapa wakisema proudly uchumi wa nigeria ni mkubwa on paper


Africa's Largest Remittances (Money Sent Back Home by Citizens Abroad) in 2022

1. Egypt - $32 billion

2. Nigeria -$21 billion

3. Morocco - $10.75 billion

4. Ghana - $4.7 billion

5. Kenya - $4.027 billion

6. Tunisia -$3.044 billion

7. Senegal - $2.9 billion

8. Ethiopia - $2.5 billion

9. Algeria - $1.829 billion

10. Zimbabwe - $1.66 billion

11. Uganda - $1.1 billion
GDP inaonekana kwa macho wewe mshakahola si rocket science
 
USD 700m dam si mngemaliza shida ya chakula huko shakahola country

USD 700m on paper
Buda hii dam ipo under construction na inacost ksh 82b. Inaitwa thwake dam enda ujifanyie research kama nadanganya am done arguing na madwanzi
nhKlwcL_d.jpg
 
The last time I heard about building dams and irrigation schemes in Shakahola country was during Kibaki regime.
Because you lack information. Dams nyingi zimeanza kujengwa in the last regime
Thwake
Thiba
Karimenu
Mwache
Itare
Koru sonu
 
Am talking about the impact. Unaimagine impact 21b inaweza have kwa economy yenyu?
Kama umesoma vizuri "Economics", too much remmitances disturbs economy instead of improving economy
1)Increases inflation rate
2)Discourages working spirit
3)Encourages corruption
4)Increase appetite for human capital outflow/brain drain
5)Economic turbulent
 
Back
Top Bottom