The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
mmamae walahi
Huwa ninashangaa kwanini hadi Leo badoo Kenya haijafikia Kama Sudan, mazingira yote ya vita yameshafikiwa.Mauaji yatakayotokea shakahola ni zaidi ya Rwanda.
Ndio washaanza mbona wanajenga sinohydro wiki ya pili sasa na wanakwenda kasi balaa😅😅 itaungana na karume na mandela roadWakuu sikuwa najua kama hii barabara ya kutoka Buguruni mpaka karume (sijui ndiyo uhuru road) nayo wameshaanza kujenga BRT, ndiyo naona sahizi hapa.
Daahh ndiyo nimeshangaa hapa, ila pale Buguruni junction waweke flyover aisee.Ndio washaanza mbona wanajenga sinohydro wiki ya pili sasa na wanakwenda kasi balaaitaungana na karume na mandela road
Ndio niliskia iko kwenye ratiba hio hata tabata pale mataa pia iko kwenye planDaahh ndiyo nimeshangaa hapa, ila pale Buguruni junction waweke flyover aisee.
Bila kusahau brt itayopita kigogo kwenda kinyereziNdio niliskia iko kwenye ratiba hio hata tabata pale mataa pia iko kwenye plan
Ndio washaanza mbona wanajenga sinohydro wiki ya pili sasa na wanakwenda kasi balaaitaungana na karume na mandela road
pale Kamata.Uzushi hakuna sehemu yeyote Kuna miaka 100Kiukweli miakamingi sana. Sijui wanazingatia nini?
ndio hata mimi nimeiona nimeipita kama mara 3 hivi.Wakuu sikuwa najua kama hii barabara ya kutoka Buguruni mpaka karume (sijui ndiyo uhuru road) nayo wameshaanza kujenga BRT, ndiyo naona sahizi hapa.
Mawazo ya kijima na ya kijamaa,nioneshe sehemu yeyote ambayo imeandikwa mkataba ni miaka 100.Makosa yaliyofanywa na Ukraine kuipa Urusi kuendesha bandari zake ndio haya.Kwanza ni kosa kubwa sana kutoa milango mikuu ya uchumi kwa wageni.Siungi mkono kwa namna yoyote ile
Kwa hiyo Uganda hakuna madalali? Ni akili za Kijamaa ndizo zinaweza kuondoa madalali na ndio sababu biashara nyingi zinakufa..Wanalima sana tu hasa kule kagera....lakin inatoroshwa Uganda kwa sababu ya sera mbovu za ununuzi wa kahawa...na wingi wa madalali katika kilimo....
Kagera inazalisha zaidi ya nusu ya kahawa yote nchiniView attachment 2648227
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Kama render 100% similarity.
Hiyo ni Landcruiser 79 series na kwa kawaida huwa zinakuja kama pickup za double cab. Ukiona kakidirisha hapo kwenye bonet ujue ina injini ya single turbo V8 diesel inaitwa 1vd kama ile ya kwenye V8 za viongozi hapa TZ japo zenyewe zina turbo mbili.Mimi sio mtu wa hobby za magari ila hii chuma nimeikubali sana huko Chaka Fulani noma sana Kwa kufanyia adventure..
Ni V8(Piston 8)
Suspension zake ziko comfortable sana,gas powered
Tairi Pana Zenye balance nzuri
Ina shower(hot & cold)
Tent lenye godoro watu wa 3 wanalala,
Ina solar panel hapo,ndani Ina lithium battery kubwa
Ina Camera 2 ya mbele na nyuma na zinaweza rekodi umbali Hadi wa mita 100,
Ina freezer 2,mbele na nyuma
Ina vitu vyote vya kitchen kuanzia cooker,meza,viti nk ,
Wareless charger,radio call,Taa za chini na pembeni gari ilipata break down usikuwa Wala huwazi nk View attachment 2649056View attachment 2649058View attachment 2649059View attachment 2649060View attachment 2649061View attachment 2649062
Kiufupi makoloko yake nUnaweza
sema ni nyumba inayotembea..
Bei ni pesa kidogo tuu mil.350 hivi