Bado ni shida mifumo ya masoko bado haijakaa sawa madalali uchwara bado wako wengi na pia prices ziko chini sana kwa wakulima haziwapi motivation ya kuongeza acreage. Pia mfumo wa upatikanaji wa pembejeo na miundombinu ya umwagiliaji inabidi iimarishwe kisawasawa ndio tutaona mabadiliko makubwa. Agriculture inauwezo wa kuchangia USD 15 -20 bn every year kwenye uchumi wa TZ.Kazi kubwa kivipi?
Kama coffee imeingiza 230,kwanini wakulima waliolima wasiambiwe walime Mara 4 zaidi?

mingi sana. Sijui wanazingatia nini?